Mkuu
.
Tunashindwa kuona kabisa tatizo la Tanzania linasababishwa na sisi watanzania wala halina uhusiano wowote na CHAMA wala itikadi.Kama ni magofu kwanini uone tu magofu ya ccm ambayo angalau bado bado yapo na ushindwe kuona magofu ya vyama vya ushirika na viwanda vilivyooza na vingine kupotea kabisa.?