N Ndinani JF-Expert Member Joined Aug 29, 2010 Posts 7,329 Reaction score 4,286 Dec 13, 2011 #41 CAMARADERIE said: Ubongo wake bado uko kwenye kampeni........liar Click to expand... Mkweree kwa kutoa ahadi ndio mwenyewe halafu ni msahaulifu sana amekwishasahau kuwa aliwaahidi wadanganyika FLY-OVERS ; sasa anawaambia atawajengea reli ya kisasa yenye treni za kisasa huku watu wanakufa njaa!!
CAMARADERIE said: Ubongo wake bado uko kwenye kampeni........liar Click to expand... Mkweree kwa kutoa ahadi ndio mwenyewe halafu ni msahaulifu sana amekwishasahau kuwa aliwaahidi wadanganyika FLY-OVERS ; sasa anawaambia atawajengea reli ya kisasa yenye treni za kisasa huku watu wanakufa njaa!!