JK: Tanzania kujenga reli ya kisasa ya kimataifa

Ubongo wake bado uko kwenye kampeni........liar

Mkweree kwa kutoa ahadi ndio mwenyewe halafu ni msahaulifu sana amekwishasahau kuwa aliwaahidi wadanganyika FLY-OVERS ; sasa anawaambia atawajengea reli ya kisasa yenye treni za kisasa huku watu wanakufa njaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…