Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! kweli laana ya watu wengi ni laana ya Mungu, sijui nini kitatokea Ee Mungu mwema yaangalie haya, ukaipinye nchi yetu iliyojaa maziwa na asali.Hivi karibuni mheshimiwa anaeondoka madarakani aliwahutubia wananchi wa songea kuwa kuna watu wanataka kutumia maiti za wananchi kama ngazi kuingia ikulu, nimetafakari kwa mda mrefu kauli hiyo sasa nimeng'amua kuwa JK ndo anaetaka kutumia maiti za walala hoi wa nchi hii kama ngazi za kumrudisha ikulu.
NAMWABIA JEIKEI KUWA MWILI WANGU HALALI YAKE KUUGEUZA MAITI KUITUMIA KAMA NGAZI KURUDI IKULU LAKINI SIO JASHO LANGU.
JK TUMIA MWILI WANGU KAMA MKATE WAKO WA KILA SIKU IKULU NA DAMU YANGU KAMA MVINYO WAKO NA WANAO LAKINI SITAKUBALI UTUMIE JASHO LANGU.
Hivi karibuni mheshimiwa anaeondoka madarakani aliwahutubia wananchi wa songea kuwa kuna watu wanataka kutumia maiti za wananchi kama ngazi kuingia ikulu, nimetafakari kwa mda mrefu kauli hiyo sasa nimeng'amua kuwa JK ndo anaetaka kutumia maiti za walala hoi wa nchi hii kama ngazi za kumrudisha ikulu.
NAMWABIA JEIKEI KUWA MWILI WANGU HALALI YAKE KUUGEUZA MAITI KUITUMIA KAMA NGAZI KURUDI IKULU LAKINI SIO JASHO LANGU.
JK TUMIA MWILI WANGU KAMA MKATE WAKO WA KILA SIKU IKULU NA DAMU YANGU KAMA MVINYO WAKO NA WANAO LAKINI SITAKUBALI UTUMIE JASHO LANGU.
kama umeingia choo cha wanawake toka haraka na si kulazimisha kuchuchumaa ili uonekane mwanamama,Acheni kuandika PUMBA! Kwani lazima uandike hata kama huna cha kuandika?
kama umeingia choo cha wanawake toka haraka na si kulazimisha kuchuchumaa ili uonekane mwanamama,
hapo hamna pumba mtazamo wako ni wa kushoto zaidi
Hivi karibuni mheshimiwa anaeondoka madarakani aliwahutubia wananchi wa songea kuwa kuna watu wanataka kutumia maiti za wananchi kama ngazi kuingia ikulu, nimetafakari kwa mda mrefu kauli hiyo sasa nimeng'amua kuwa JK ndo anaetaka kutumia maiti za walala hoi wa nchi hii kama ngazi za kumrudisha ikulu.
NAMWABIA JEIKEI KUWA MWILI WANGU HALALI YAKE KUUGEUZA MAITI KUITUMIA KAMA NGAZI KURUDI IKULU LAKINI SIO JASHO LANGU.
JK TUMIA MWILI WANGU KAMA MKATE WAKO WA KILA SIKU IKULU NA DAMU YANGU KAMA MVINYO WAKO NA WANAO LAKINI SITAKUBALI UTUMIE JASHO LANGU.