Elections 2010 JK: Ukosefu wa fedha unakwamisha maendeleo


Hatuna fedha za kutosha kwa ajili ya maendeleo yetu Tanzania kweli.This is a blatant slap in the face.Madini yetu yanakwenda wapi,utalii,pamba,chai,kahawa,mbao,kodi za makampuni ya simu na vitega uchumi vingine vingi, uvuvi nk.Leo tunaambiwa hatuna hela ya kutosha.Nani atakuwa na hela sasa, hao wanaopewa resourses zetu bure.Sawa bwana,iko siku.
 
Tuna raisi ambaye anauongozi wa kiimla na nnadhani anafikiri anaongoza majuha.mmmhh hapa kazi ipo mpaka huo mwaka 2015 tuna huyu mtu
 
Ili tuendelee tunahitaji >>watu, ardhi. siasa safi na uongozi bora.

Yaani inashangaza swali la kwenye siasa darasa la tano mkuu anashindwa kutambua majibu. Kichekesho zaidi eti huyu alikuwa mwalimu wa siasa jeshini kwa miaka kadhaa.
 
This is Kikwete in search of a vision. In search of statesmanship. He is missing both.
 
matatatizoyaliyopo kwenye nchi yetu ni
  • Financial dicspline- Waamuzi wana act kama vile hakuna uhaba wa fedha wakati kwenye bajeti wajua kila siku majibu yao ni ufinyu wa bajeti. Hici huko vyuoni wakati wanajifunza mamneo kama Planning, Organisation walidhani yana maana gani. Hakuna nchi yeyote Duniani yenye financial resources zinatosheleza mahitaji yao . Ndio maana kuna neno bajeti. Budget is plan how effectively and efficently to use scarce financial resource you have.


  • Prioritisation- Kwenye makaratasi Tanzania tunaplan nzuri lakini kiutendaji pesa nyingi zinapotela kwenye administration badala ya kuelekezwa kwenye utekelezaji hasa wa wa sera. Mfano anagalia landcruser za miradi ya kilimo nyingi ziko wapi. ziko mjini badala ya kuwa shemu hasa za kilimo. Watu wanaotakiwa uwa filed wao wamevaa tai. Wizara ya kilimo ina magai mengi ten mikonga yako dar na mijini badala ya rukwa ruvuma iriga an the like.

Bila kubadilsha hayo mambo hata wahisani wangetaoa pesa zote bado mambo yangeuwa yale yale tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…