JK Ziarani Denmark

Tatizo Nkapa alimuweka muda mrefu sana MFA matokeo yake ndo hayo bado anadhani ni MFA na kusahau kuwa amemchagua mwenzake MEMBE kufanya hayo anayoyafanya. Pia hapa kwetu kwa sasa kwake ni moto lazima akapnguze mawazo nje.
 
... let JFers lament what may, he's an indefensible voyager!
 
Mpaka sasa nadhani muda alioutumia JK kwenye uongozi wake, 60% ni kwenye ziara na 40% Nyumbani Tanzania. Je wandanganyika tutafika kweli huko tuendako??????


Naona kama unapunguza ni 80%Nje na 40% nyumbani.kwani kuna mwezi unapita bila kusafiri nje?
 
Hizi safari za JK zinatisha kwani hata hajifunzi anapo ona inchi za wengine?Ni swala la kusikitisha sana kwani watanzania hatujui faida za safari zake ndio maana tunaona mpu uzi.Je kwanini asiulizwe hata na waandishi wa habari? Jamani tutafute RAISI mwingine 2010.
 
Raisi wa Tanzania ni Rostam Aziz. JK ni kama Queen wa England and Wales.

Mbaya zaidi anajua uqueen wake unakaribia kufikia kikoma so anajaribu kumaximize utility kabla hajaipoteza nafasi hii muhimu
 

Huyu anatakiwa akiwa hukohuko kidumekipindue nchi nakumtangazia asikanyage nchini, atafute kwa kwenda. Pamoja na uwaziri wa mambo yanje alioutumikia kwa miaka kadhaa hakulidhika.
 
Yap na akitoka huko anapitia South Africa

Mipangilio ya kiajabu ajabu. Na itakuwa si mara ya kwanza. Kuna wakati alitokea Swaziland akapita airspace ya TZ moja kwa moja kwenda kumtembelea swaiba wake al Bashir (Sudan) halafu akarudi huko.
 

Ratio ya mileage ya Head of State vs Foreign Minister kwa nchi nyingi kwa wastani ni 1:8. Huyu wa kwetu inawezekana ni 1:1 au labda hata ratio imeguzwa kabisa (8:1).
 
Kikwete ni chairman wa Africa Commission, inayogharamiwa na serikali ya Denmark. Walichoenda kuzindua kule ni mpango wa kubuni ajira kwa nchi za Afrika.

Sitetei safari zake za nje, lakini kwa hii ya Denmark ilikuwa lazima aende. Angewapa kisingizio gani watu wanaoshirikiana ku-create ajira? Safari nyingi alizopiga zinafanya hata zile genuine zionekane ni mwendelezo wa cruising zake.
 
Atahudhulia kuapishwa kwa Jacob Zuma huko Pretoria na akitoka huko anapitiliza kwenda United States of America!! No wonder amemuhamishia Lukuvi Dar. kwasabababu huyu ni fundi wa kusindikiza/kupokea wakuu Airport[ good protocol officer!!!]
 
Ndugu zangu
Salaamuni kwa mpigo
Huyu jamaa na safari zake zinakera, lakini pia mjue ni mgonjwa anatafuta matibabu.
 
Ndugu zangu
Salaamuni kwa mpigo
Huyu jamaa na safari zake zinakera, lakini pia mjue ni mgonjwa anatafuta matibabu.

Matibabu tena?!?! Mbona hatujaambiwa kama ni mgonjwa??
Na kuleni masnapu haya wakati anapiga stori na wazawa.....
 

Attachments

  • 117.JPG
    45.1 KB · Views: 49
  • 237.JPG
    49 KB · Views: 45
  • 238.JPG
    47 KB · Views: 46
  • 239.JPG
    41.4 KB · Views: 46
  • 242.JPG
    32.5 KB · Views: 44
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…