JK

TandaleOne

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
1,644
Reaction score
709

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia na kumsikiliza msichana mlemavu Tabu Wanjala muda mfupi baada ya kuzundua mradi wa umeme na kuwahutubia wananchi katika kijiji cha Muriti, wilayani Ukerewe 02/07/2010.
 
jk mtu wa watu! ona anavomsikiliza kwa umakini huyo mama:becky:
 
Fungua attachment uone uungwana wa ccm
 
HAWEZI KUITWA JK HUYU NI JM.........jk ni mmoja tu yaani Julius Kambarage Nyerere na sio Jakaya Mrisho Kikwete
 
HAWEZI KUITWA JK HUYU NI JM.........jk ni mmoja tu yaani Julius Kambarage Nyerere na sio Jakaya Mrisho Kikwete

Hayo ni maoni yako kaka.Na si lazima uwe mtazamo wetu sote
 
View attachment 13356
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia na kumsikiliza msichana mlemavu Tabu Wanjala muda mfupi baada ya kuzundua mradi wa umeme na kuwahutubia wananchi katika kijiji cha Muriti, wilayani Ukerewe 02/07/2010.

mboni anamwangalia pembeni kama anamuonea kinyaa? si amguse walau mgongoni na mkono au aonyeshe sura ya huruma jameni!
 
JM aka Jakaya Mziray...............

 
Last edited by a moderator:
JM aka Jakaya Mziray...............


Yaani baada ya neno AISEE --- AISEE hapo hapo Nchi yetu ikakosa RAIS kwa muda wa dakika kama 15 nzima - :becky: cheza video hii tena uhakikishe.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…