Mzee wa Code
Member
- Sep 23, 2024
- 61
- 91
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete tunawaomba Mfanye malipo ya Kikao chenu mlichofanya Dodoma na Waandishi wa Habari Ukumbi wa Habari Maelezo, Tabia yenu ya kuwafanyisha kazi watu na kutowalipa watu acheni mnaitia aibu Taasisi Hii yenye Jina la Mzee Wetu Jakaya Kikwete
Hii imekuwa Tabia yenu kila mnapofanya warsha au semina mmekuwa mkiwadhulumu washiriki kwa kisingizio cha malipo bado mnaomba akaunti namba na namba za simu halafu mwisho wa siku hakuna malipo
Mkuryngezi Mtendaji wa Wa taasisi fanya uchuguzi idara yako ya fedha imekuwa ikiwapiga sana watu wanaofanya kazi na Taasisi yako
Hii imekuwa Tabia yenu kila mnapofanya warsha au semina mmekuwa mkiwadhulumu washiriki kwa kisingizio cha malipo bado mnaomba akaunti namba na namba za simu halafu mwisho wa siku hakuna malipo
Mkuryngezi Mtendaji wa Wa taasisi fanya uchuguzi idara yako ya fedha imekuwa ikiwapiga sana watu wanaofanya kazi na Taasisi yako