Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Sasa baada ya hizi achievements zooote, unaskia watu bado wanawika ati "Uhuru must go!"
Jokenya konyou tek yawa...
Wanowika Uhuru must go have their reasons, kama wewe unapanda ndege kila siku kuna wananchi wenzako wengi zaidi yenu hawapandi hizo na wanaona ni akheri bwana Uhuru angewekeza kwenye masuala mahususi yanayowagusa, don't be selfish.
Vipi pangaboy zenu zimewanufaisha wakulima vijijini???? Maana hiyo ndio mantiki unayotumia..
Wanjala ..even to date you still question Raila???Everything that RAO has made noise about has been proven to true...get your head out of the caliginous caves of MT KENYA..You must be eating meat with them wengi kama mimi ni kumeza mate..In that list which do you believe are true scandals??? I can tell you following politicians blindly is quite bad, when opposition says it is a scandal its followers ran with it, that yes it is, with no proof at all. All this things you are listing here are because the kina RAILA said! I don't like the attitude!!
Sanaa, mapangaboi yetu yamesaidia pakubwa tu, yamebase kwenye safari za mikoa kwa mikoa, wakulima wanasafirisha mazao yao kwandege, though sio wote, but inasaidia kusema ukweli, me sijapinga huo mradi bwana mzalendo mkenya, me nimempinga ndugu ako, bwana inocolosclastes kwamba hao wanaosema Uhuru must go wanayo sababu pia, he shouldn't demonize them. Lakini kwa kupata ruhusa ya kuaccess route moja kwa moja hadi marekani, hongereni sana, embu nielezee, hiyo safari itaweza chukua masaa mangapi unadhani.
Kubawe, sii chenyu,Ya nyani kutoona 'kubawe'. Hata kiswahili sii chenyu. Bado wewe ni mtumwa tena sana. Hebu wewe mjuzi WA lugha, katueleze kwa kindani 'kubolonga' ndio nini haswa. Ama unamàanisha 'kuboronga'
Sanaa, mapangaboi yetu yamesaidia pakubwa tu, yamebase kwenye safari za mikoa kwa mikoa, wakulima wanasafirisha mazao yao kwandege, though sio wote, but inasaidia kusema ukweli, me sijapinga huo mradi bwana mzalendo mkenya, me nimempinga ndugu ako, bwana inocolosclastes kwamba hao wanaosema Uhuru must go wanayo sababu pia, he shouldn't demonize them. Lakini kwa kupata ruhusa ya kuaccess route moja kwa moja hadi marekani, hongereni sana, embu nielezee, hiyo safari itaweza chukua masaa mangapi unadhani.
La hasha. Mimi ni nadra sana kutumia ndege, nimewahi zitumia kwenye safari chache tu.Wanowika Uhuru must go have their reasons, kama wewe unapanda ndege kila siku kuna wananchi wenzako wengi zaidi yenu hawapandi hizo na wanaona ni akheri bwana Uhuru angewekeza kwenye masuala mahususi yanayowagusa, don't be selfish.
Kwani ...let me ask you ...is everyone who opposes raila from mt kenya ?...wachanga upuzi ...tribalist ...you just hate kikuyus that much ....Wanjala ..even to date you still question Raila???Everything that RAO has made noise about has been proven to true...get your head out of the caliginous caves of MT KENYA..You must be eating meat with them wengi kama mimi ni kumeza mate..
Wanjala ..even to date you still question Raila???Everything that RAO has made noise about has been proven to true...get your head out of the caliginous caves of MT KENYA..You must be eating meat with them wengi kama mimi ni kumeza mate..
Haha no wonder you are bitter with Uhuru.. You must be salivating for what he has. Haters are always secret admirers you know.Wanjala ..even to date you still question Raila???Everything that RAO has made noise about has been proven to true...get your head out of the caliginous caves of MT KENYA..You must be eating meat with them wengi kama mimi ni kumeza mate..
Thank you
KQ will start direct flights bu next month, according to their communication team