JKT 3r ROUND"AZ WEAH" HADI 2016!

mic az were.!!!! yape taulo yote yaliyochaguliwa round ya tatu! au 2tayapa koz ci wenyewe chuon,make wengne 2meburst koz
 
haya yametolewa kimakosa bwana,mbona ilboru na benjamin waliendaga wote first round na wamewekwa tena?
 
haya yametolewa kimakosa bwana,mbona ilboru na benjamin waliendaga wote first round na wamewekwa tena?


Makosa yapo kwenye hizo shule tu, afu kuzitoa ni kazi ndogo sana, lakini kuhusu suala la hao ambao hawakuenda mwanzo ni lazima waende...

mimi siwatetei kabisa, nitachuma dhambi za bure kwa muumba, mbona jkt walitangaza tangu awali kuwa kutakua na 2nd, 3rd na 4th intake za jeshi kwa waliomaliza form 6....

Narudia tena, hao ambao hawakuenda jkt mwanzoni LAZIMA WAENDE.... amini usiamini chuo MEI mwakani
 

sidhan ki2 kama hcho....updated-boy
 

eti eh! usiniambie!
 

Ha ha ha ha ha ha,sio mwezi may,chuo ni october mwakani!
 
ivi amiri jesh mkuu ni nani tenaaa...?! hahaha. utamu huo.
 
ivi amiri jesh mkuu ni nani tenaaa...?! hahaha. utamu huo.


His eminance Hon. Pres. Jakaya Mrisho Kikwete....
Amri ya jeshi inatuka kwa raisi

thumb up raisi wangu.. Mungu akuongoze hasa wakati unafanya maamuzi magumu kama haya, yenye manufaa tele kwa jamii yetu
 
itakuwa very hard.,kikubwa kuna uwezekano mkubwa hcho ki2 ni az weah! Updated-boy

Wanajeshi kiboko. As you were wao wanasema Ajwaaaa!. Reorganise wao wanaita Riogo. For Christs Sake wao wanasema fokrast.
Jamaa kiboko hawa.
 
Wanajeshi kiboko. As you were wao wanasema Ajwaaaa!. Reorganise wao wanaita Riogo. For Christs Sake wao wanasema fokrast.
Jamaa kiboko hawa.

wazi kaka,jesh kla k2 kinawezekana updated-boy
 
Wanajeshi kiboko. As you were wao wanasema Ajwaaaa!. Reorganise wao wanaita Riogo. For Christs Sake wao wanasema fokrast.
Jamaa kiboko hawa.

hadi ukitaka kufa unaambiwa we kufa tu,ndo lugha zetu! Wazi?
 
His eminance Hon. Pres. Jakaya Mrisho Kikwete....
Amri ya jeshi inatuka kwa raisi

thumb up raisi wangu.. Mungu akuongoze hasa wakati unafanya maamuzi magumu kama haya, yenye manufaa tele kwa jamii yetu

umeona eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…