Parasite
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 613
- 575
polen na majukumu kuna wachangiaji wa jukwaa hili walituletea habari kwamba jkt kwa kidato cha sita imefutwa kisheria sasa leo tunasikia habari tena kwamba madogo wanatakiwa kuripot maeneo waliyopangiwa fasta na miongoni mwao ni dogo langu amemaliza Minaki na amepangiwa Moro plz hebu tujuzane hapa