JKT hata ukae miaka 5 hakuna ujuzi wa maana utakaoupata kiasi kwamba utaleta challenge mtaani

JKT hata ukae miaka 5 hakuna ujuzi wa maana utakaoupata kiasi kwamba utaleta challenge mtaani

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kama miaka 2 hivi imepita kwa I'd nyingine nilishauri kidato cha sita badala ya kwenda JKT kwa mujibu wa sheria waende VETA kwa mujibu wa sheria ikiwezekana wakae huko mwaka au miezi sita .

VETA watarudi na ujuzi kamili ambao utaweza kuwachallenge mafundi wa mtaani.

VETA cheaper ukilinganisha na JKT.

Kwa miezi 6 au mwaka kijana atatumia kiasi kidogo cha fedha kupata ujuzi VETA kuliko kiasi kingetumika akiwa JKT

JKT hata ukae miaka 5 hakuna ujuzi wa maana utakaokusaidia kuwachallenge mafundi wa mtaani.

Kuhusu uzalendo ni wakati sasa JKT waende vijana wa kujitolea tu tena ile fomu ibadilishwe, baada ya kuandika kijana atarudi nyumbani mara baada ya mkataba kuisha waandike "Kijana atatafutiwa ajira akifaulu vizuri na kuonyesha nidhamu njema".

Kuna stadi unazipata ukiwa JKT ila huwezi kuwa competent sana. Mimi mwenyewe nimetumikia JKT ila niliambulia kujua kilimo cha matikiti tu. Je, nikalime bila mtaji?

Sio wakati wa serikali kutoa mtaji wa Vijana wanaorudi toka JKT?
 
JKT unaenda kufundishwa kubeba mawe na kupigwa pigwa mabuti, et uzalendo , jaman hzi ni fikra za kipind cha Uhuru huko , sa hv kila mmoja ana fight about economic , ushauri wako upo vyema waende VETA. Tatizo tunaishi Kwa fikra za mwenge wa Uhuru ....haya haya ya kudamp mabilion ya pesa kuhamisha makao makuu Dar to Dom.
 
Ukiwa VETA utakuwa unafahamu mapema vyema nini kinafuata baada ya mafunzo yako kufika mwisho sio kama uko JKT wanapofikiri kuingia jeshini tu na wakiondolewa bila hizo ajira inakuwa kelele.
Ok JKT utafundishwa kulima matikiti ila hauwezi lima bila mtaji.

VETA utaenda kujifunza hizo stadi halafu watakupa mtaji?
 
Ukiwa VETA utakuwa unafahamu mapema vyema nini kinafuata baada ya mafunzo yako kufika mwisho sio kama uko JKT wanapofikiri kuingia jeshini tu na wakiondolewa bila hizo ajira inakuwa kelele.
Kumbe ni suala la mindset tu ya muhusika.
 
Wanasema uzalendo.
Ila ninahofu sana ki bongo bongo.
Uzalendo na ujinga vinaendana sana. Kiasi kwamba ni ngumu kutenganisha
 
Kama miaka 2 hivi imepita kwa I'd nyingine nilishauri kidato cha sita badala ya kwenda JKT kwa mujibu wa sheria waende VETA kwa mujibu wa sheria ikiwezekana wakae huko mwaka au miezi sita .

VETA watarudi na ujuzi kamili ambao utaweza kuwachallenge mafundi wa mtaani.

VETA cheaper ukilinganisha na JKT.

Kwa miezi 6 au mwaka kijana atatumia kiasi kidogo cha fedha kupata ujuzi VETA kuliko kiasi kingetumika akiwa JKT

JKT hata ukae miaka 5 hakuna ujuzi wa maana utakaokusaidia kuwachallenge mafundi wa mtaani.

Kuhusu uzalendo ni wakati sasa JKT waende vijana wa kujitolea tu tena ile fomu ibadilishwe, baada ya kuandika kijana atarudi nyumbani mara baada ya mkataba kuisha waandike "Kijana atatafutiwa ajira akifaulu vizuri na kuonyesha nidhamu njema".

Kuna stadi unazipata ukiwa JKT ila huwezi kuwa competent sana. Mimi mwenyewe nimetumikia JKT ila niliambulia kujua kilimo cha matikiti tu. Je, nikalime bila mtaji?

Sio wakati wa serikali kutoa mtaji wa Vijana wanaorudi toka JKT?
Wanarudi na ujuzi wa kusomea mgambo chief. Au kuwa kwenye makampuni ya ulinzi
 
Kama miaka 2 hivi imepita kwa I'd nyingine nilishauri kidato cha sita badala ya kwenda JKT kwa mujibu wa sheria waende VETA kwa mujibu wa sheria ikiwezekana wakae huko mwaka au miezi sita .

VETA watarudi na ujuzi kamili ambao utaweza kuwachallenge mafundi wa mtaani.

VETA cheaper ukilinganisha na JKT.

Kwa miezi 6 au mwaka kijana atatumia kiasi kidogo cha fedha kupata ujuzi VETA kuliko kiasi kingetumika akiwa JKT

JKT hata ukae miaka 5 hakuna ujuzi wa maana utakaokusaidia kuwachallenge mafundi wa mtaani.

Kuhusu uzalendo ni wakati sasa JKT waende vijana wa kujitolea tu tena ile fomu ibadilishwe, baada ya kuandika kijana atarudi nyumbani mara baada ya mkataba kuisha waandike "Kijana atatafutiwa ajira akifaulu vizuri na kuonyesha nidhamu njema".

Kuna stadi unazipata ukiwa JKT ila huwezi kuwa competent sana. Mimi mwenyewe nimetumikia JKT ila niliambulia kujua kilimo cha matikiti tu. Je, nikalime bila mtaji?

Sio wakati wa serikali kutoa mtaji wa Vijana wanaorudi toka JKT?
Mkuu, hongera sana kwa wazo zuri.
 
Wanarudi na ujuzi wa kusomea mgambo chief. Au kuwa kwenye makampuni ya ulinzi
Haya makampuni ya ulinzi yanayomilikiwa na wastaafu wa majeshi yamejaa utapeli na dhulma na ya nje yakija tu yanapewa maelekezo.
Client analipa sh. Laki 8 guard anapewa laki 3.
 
Back
Top Bottom