Tetesi: jkt kujitolea2016

Tetesi: jkt kujitolea2016

sixmundmtabi

Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
22
Reaction score
1
wadau naomba kuuliza kwa anaejua kuhusu hili, ni lin vijana wa jkt wa kujitolea wanatakiwa kwenda kambini? au serikali imehairisha? maana ni kitambo ss tangu usaili kumalizika na tarh ikapangwa zen watu wakaambiwa safar imeahairshwa! sababu eti ni frm six, ss wameshamaliza kama wik mbili zimepita ila bado kimyaa...naomba mwenye taarf pleas
 
Back
Top Bottom