Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Habari wakuu!
Naomba kuuliza kuhusu swala la mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria, Mimi namaliza masomo ya kidato cha sita mwaka huu lakini mtihani nafanya mwakani je nifate utaratibu gani ili niende katika mafunzo ya JKT?
Naomba kuuliza kuhusu swala la mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria, Mimi namaliza masomo ya kidato cha sita mwaka huu lakini mtihani nafanya mwakani je nifate utaratibu gani ili niende katika mafunzo ya JKT?