JKT na Uzalendo; Uzalendo kwa Nani?

daaah kweli zamani JF ilikua na true great thinker...thread ya mwaka 2011 bado ina mashiko hadi...poor Tanzania
 
Bravo kwa mwanzisha topic,inawezekana isipate wachangiaji wengi hii tabia ya Watanzania kuchangia' topic pendwa' ambazo utamu wake ni wa muda tu.Topic ni nzuri kwani niyakuijenga Tanzania tunayotaka.

Jkt...jkaya k.'kwte Team
 

Umeandika marefu sana siwezi kumaliza yote ila kifupi unaonekana si mzalendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…