Meja vitalis
Member
- Aug 7, 2013
- 32
- 14
Hebu tazameni dunia ilivyo na vituko! kila mtu akishapata chansi basi anajitahidi kufunga mlango kuzuia wengine ili wasifanikiwe kama yeye!.tutazame lengo la viongozi wetu wa siasa waliojaa ufisadi na ubadhilifu mkubwa wa mali ya umma ndo leo wanaoleta wazo la kuwapeleka wasomi JKT eti wajifunze UZALENDO!!! hii yote ni kutaka kuzuia ufanyikaji wa ubadhilifu kama wanaoufanya wao,eti msomi aipende nchi yake! kwanini wenyewe hawaipendi??,mi naona bora JKT isitishwe na kila anayepata chansi aitumie sio kupotezeana muda tu! Tumeshindwa hata kujua maana ya"KAMATA FURSA,,,TWENZETU!" fursa hazina mipaka!,ukipata fursa uitumie maana maendeleo yanaanzia kwako!!.