S samakinchanga JF-Expert Member Joined Aug 24, 2014 Posts 2,024 Reaction score 1,233 Feb 11, 2019 #1 Ni goli la Feisal Totooo,Yanga waendelea kujikusanyia point muhimu.Nimeona nilete hii habari maana jana yote hakuna aileleta watu wamekuwa kimya sana baada ya Al ahly kuingia jijini.
Ni goli la Feisal Totooo,Yanga waendelea kujikusanyia point muhimu.Nimeona nilete hii habari maana jana yote hakuna aileleta watu wamekuwa kimya sana baada ya Al ahly kuingia jijini.
K kyata JF-Expert Member Joined Jun 20, 2015 Posts 2,535 Reaction score 2,499 Feb 11, 2019 #2 Watu wanawaza viroba watavibebaje toka kwa mchina, hadi sasa Paka pori kashakufa Simba bila majibu.