Jkt, ultimate security,kk security

Jkt, ultimate security,kk security

Tugutuke

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
501
Reaction score
166
Naomba nitafutiwe kazi jamani kwenye sehemu nilizotaja hapo kwenye Heading. Wengine mtachukulia poa tu, lakini nipo serious sana. Naomba mwenye kujua utaratibu anasaidie au anishughulikie,nami nione pa kutokea kimaisha. Sifurahii maisha ya Kuwa Idle home na vijiweni. Elimu yangu ni ya Sekondari tu.
0768252589. Ntashukuru.
 
Naomba nitafutiwe kazi jamani kwenye sehemu nilizotaja hapo kwenye Heading. Wengine mtachukulia poa tu, lakini nipo serious sana. Naomba mwenye kujua utaratibu anasaidie au anishughulikie,nami nione pa kutokea kimaisha. Sifurahii maisha ya Kuwa Idle home na vijiweni. Elimu yangu ni ya Sekondari tu.
0768252589. Ntashukuru.
Pole kijana!!but never give up,pia ukipata nafasi ya kuongeza kisomo nenda ukaongezee,kuna mahali unaelekea kimaisha,ila bado tu haujapafikia,UTAFIKA TU......Kuna jamaa yangu yuko JKT Tanga nimeongea nae kasema nafasi zinatoka Mwezi MAY so tega sikio..All the best.
GOD BLESS YOU.
 
Pole kijana!!but never give up,pia ukipata nafasi ya kuongeza kisomo nenda ukaongezee,kuna mahali unaelekea kimaisha,ila bado tu haujapafikia,UTAFIKA TU......Kuna jamaa yangu yuko JKT Tanga nimeongea nae kasema nafasi zinatoka Mwezi MAY so tega sikio..All the best.
GOD BLESS YOU.

Tears down my cheeks as I read between the lines ulizoandika. Kama Jf tungekua tunapeana moyo namna hii hata msamaha wa mungu katika maovu mbalimbali tuyafanyayo, tatizo la ajira nk ungeshuka. Yaani wakati mwingine unaweza ukapata majibu ya kuhuzunisha kutoka kwa baadhi ya wana-so-called GREAT THINKERS! Huu ni mfano wa kuigwa.
 
[QUOTE Crecent;3801321]Pole kijana!!but never give up,pia ukipata nafasi ya kuongeza kisomo nenda ukaongezee,kuna mahali unaelekea kimaisha,ila bado tu haujapafikia,UTAFIKA TU......Kuna jamaa yangu yuko JKT Tanga nimeongea nae kasema nafasi zinatoka Mwezi MAY so tega sikio..All the best.
GOD BLESS YOU.[/QUOTE]

dah! Sijui mungu akupe nini,maana mpaka hapa ushaonesha ushirikiano. Naomba uendelee kuni update kwa chochote kuhusu hlo. Ubarikiwe sana.
 
Tears down my cheeks as I read between the lines ulizoandika. Kama Jf tungekua tunapeana moyo namna hii hata msamaha wa mungu katika maovu mbalimbali tuyafanyayo, tatizo la ajira nk ungeshuka. Yaani wakati mwingine unaweza ukapata majibu ya kuhuzunisha kutoka kwa baadhi ya wana-so-called GREAT THINKERS! Huu ni mfano wa kuigwa.

UNAONAEE.. Huyu mtu kafanya kitu fair.
 
Kuna dada flani alinipigia simu kwa namba niliyoweka,akaniambia sasa hv K.K. SECURITY wanachukua watu,kanipa maelezo kuwa wapo maeneo ya huko Kawe,ila sijamdaka vizuri. Kama kuna mwingine anayejua zaid kuhusu KK,anijulishe zaid. Namshukuru huyo Bi dada kwa kunipa angalau pa kuanzia.
 
Naomba nitafutiwe kazi jamani kwenye sehemu nilizotaja hapo kwenye Heading. Wengine mtachukulia poa tu, lakini nipo serious sana. Naomba mwenye kujua utaratibu anasaidie au anishughulikie,nami nione pa kutokea kimaisha. Sifurahii maisha ya Kuwa Idle home na vijiweni. Elimu yangu ni ya Sekondari tu.
0768252589. Ntashukuru.

kama vipi jaribu omba magereza kwenye hizo nafasi zilizo toka au mpaka sehemu inazo taka best wishes
 
Naomba nitafutiwe kazi jamani kwenye sehemu nilizotaja hapo kwenye Heading. Wengine mtachukulia poa tu, lakini nipo serious sana. Naomba mwenye kujua utaratibu anasaidie au anishughulikie,nami nione pa kutokea kimaisha. Sifurahii maisha ya Kuwa Idle home na vijiweni. Elimu yangu ni ya Sekondari tu.
0768252589. Ntashukuru.
.

Mhe. JKT wameshatoa nafasi za kujiunga nao...nenda ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa uonane na idara zao au washauri wa mgambo ktk hizo ofisi.
 
Mkuu,omba magereza au uhamiaji walitoa nafasi ivi karibuni.
 
dah! Sijui mungu akupe nini,maana mpaka hapa ushaonesha ushirikiano. Naomba uendelee kuni update kwa chochote kuhusu hlo. Ubarikiwe sana.[/QUOTE]

"God bless you too bro,nimesoma baadhi ya post wanazungumzia hizo nafasi,jaribu kufuatilia...we are here to help each other,so worry not..God want us to Help each other"...Nakuakikishia ukimwamini Mungu Lazima ufikie ULIPOLENGA.,go brother,go,keep on going,soon you are going to be there by his grace.
 
Tears down my cheeks as I read between the lines ulizoandika. Kama Jf tungekua tunapeana moyo namna hii hata msamaha wa mungu katika maovu mbalimbali tuyafanyayo, tatizo la ajira nk ungeshuka. Yaani wakati mwingine unaweza ukapata majibu ya kuhuzunisha kutoka kwa baadhi ya wana-so-called GREAT THINKERS! Huu ni mfano wa kuigwa.

Thank You,GOD bless You....this is what God want us to be "to be a problem solver,to be an encouragement,to be a source of strength to others,to help others to fulfill their dreams etc.
Thank You!!
 
Naomba nitafutiwe kazi jamani kwenye sehemu nilizotaja hapo kwenye Heading. Wengine mtachukulia poa tu, lakini nipo serious sana. Naomba mwenye kujua utaratibu anasaidie au anishughulikie,nami nione pa kutokea kimaisha. Sifurahii maisha ya Kuwa Idle home na vijiweni. Elimu yangu ni ya Sekondari tu.
0768252589. Ntashukuru.
Si zani kama ni vizuri sana kuji-limit kwenye hayo maeneo uliyotaja ukazani ndo sehemu pekee pa kutokea kimaisha;

si busara kupeana matumaini kwa mambo ambayo baadae itakuja kuonena si msaada: target yako ni JKT na kwenye hizo Security guard Companies, sawa lkn kwa uelewa wangu huko ni kugumu sana kujinasua kimaisha: kwenye hizi kampuni za Ulinzi Ujira wao aulingani na kazi zinazofanyika, watu wanafanyakazi ili mradi tu muda uende lkn si kwamba maisha unaweza kuya-win kiurahisi we just imagine mshahara wa laki na tano(105,000) kwa mwezi unaweza kufanya nini cha maana!

hivyo hivyo JKT hamna kitu ni kuambulia maumivu na suruba zisizo na kipimo utakaa uko kwa miaka 2 au 3 ukipokea posho elfu arabaini(40,000) kwa mwezi, baada ya hapo unaambiwa umehitimu nenda mitaani katafute kazi, mambo ni yaleyale utaambulia kuwa mgambo wa Jiji n.k kwa mshahala wa laki na ishirini(120,000) kwa mwezi, lbd tu kupitia JKT ubahatike upate chance ya kuingia JWTZ hapo unaweza kunusurika.

What to do:
1. Kwa hiyohiyo elimu uliyonayo unaweza fanya makubwa,kama huna kianzio tafuta vikundi vya Ujasiliamari ujiunge navyo, through that unaweza kujipatia kipato, na ukiona walau mambo si mabaya jiunge na chuo cha VETA, ujitafutie ujuzi fulani ambao utakufanya uonekane ni muhimu katika jamii inayokuzunguka na hatimaye kutoka kimaisha. lkn si hayo ya kwenda kusimama mageitini unalinda binadamu mwenzako kwa kipato duni .
 
umeshapata au bd? Naweza kukusaidia kwa jkt kama uko tayar
 
Si zani kama ni vizuri sana kuji-limit kwenye hayo maeneo uliyotaja ukazani ndo sehemu pekee pa kutokea kimaisha;

si busara kupeana matumaini kwa mambo ambayo baadae itakuja kuonena si msaada: target yako ni JKT na kwenye hizo Security guard Companies, sawa lkn kwa uelewa wangu huko ni kugumu sana kujinasua kimaisha: kwenye hizi kampuni za Ulinzi Ujira wao aulingani na kazi zinazofanyika, watu wanafanyakazi ili mradi tu muda uende lkn si kwamba maisha unaweza kuya-win kiurahisi we just imagine mshahara wa laki na tano(105,000) kwa mwezi unaweza kufanya nini cha maana!

hivyo hivyo JKT hamna kitu ni kuambulia maumivu na suruba zisizo na kipimo utakaa uko kwa miaka 2 au 3 ukipokea posho elfu arabaini(40,000) kwa mwezi, baada ya hapo unaambiwa umehitimu nenda mitaani katafute kazi, mambo ni yaleyale utaambulia kuwa mgambo wa Jiji n.k kwa mshahala wa laki na ishirini(120,000) kwa mwezi, lbd tu kupitia JKT ubahatike upate chance ya kuingia JWTZ hapo unaweza kunusurika.

What to do:
1. Kwa hiyohiyo elimu uliyonayo unaweza fanya makubwa,kama huna kianzio tafuta vikundi vya Ujasiliamari ujiunge navyo, through that unaweza kujipatia kipato, na ukiona walau mambo si mabaya jiunge na chuo cha VETA, ujitafutie ujuzi fulani ambao utakufanya uonekane ni muhimu katika jamii inayokuzunguka na hatimaye kutoka kimaisha. lkn si hayo ya kwenda kusimama mageitini unalinda binadamu mwenzako kwa kipato duni .

Dah!! My hope is now bult on nothing else.
 
Dah!! My hope is now bult on nothing else.
Anyway KK-security jana nilisikia kupitia Redio Clouds wakitangaza nafasi za kazi, hivyo pamoja na ushauri niliokwisha utoa haina shida we nenda kawaone Ofisi zao ziko maeneo ya Mikocheni. ukipanda magari ya kwenda KAWE unatelemka kwa Nyerere hapo utapata mtu yoyote auelekeze ofisi ziliko, ni kama Meta 200 kutoka barabara kuu ya lami iendayo Kawe. Wanataka watu wenye elimu ya kidato cha nne na kuendelea
''But dont expect much through that'' utapata ajira lkn kipato ni ''hand to mouth'' tu..
 
Back
Top Bottom