Mwaka huu wametuvuruga vya kutosha sana......Kuanzia kuchelewesha matokeo......tcu nao wakatuzingua.....heslb wakatuzingua na sasa ni zamu ya jkt ...............:frusty:
Hii ni adhabu kwenu kwa kufanya vibaya
mkuu una uhakika na unachokisema?..mi nlpata dv 1 ya 6 ABC kene CBG nimepata MD muhas ila heslb wameniboa kwel yan hata sent moja kene hayo mabilion nimekosa ..yan dah
mkuu una uhakika na unachokisema?..mi nlpata dv 1 ya 6 ABC kene CBG nimepata MD muhas ila heslb wameniboa kwel yan hata sent moja kene hayo mabilion nimekosa ..yan dah