J Justine malili Member Joined Jul 20, 2013 Posts 17 Reaction score 5 Oct 3, 2013 #1 habari ndio hiyo hapo wanatakiwa kuripoti kuanzia tar. 3 october paka tar. 6 october..! kama unataka kuahirisha utaratibu ni ule ule barua.. source kwenye website ya jkt..! nawasilisha
habari ndio hiyo hapo wanatakiwa kuripoti kuanzia tar. 3 october paka tar. 6 october..! kama unataka kuahirisha utaratibu ni ule ule barua.. source kwenye website ya jkt..! nawasilisha
V vice UDOM JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 204 Reaction score 9 Oct 3, 2013 #2 weka link 2yaone majina
Landcruiser JF-Expert Member Joined May 27, 2013 Posts 1,805 Reaction score 599 Oct 3, 2013 #3 outdated
M Mapambano kag Senior Member Joined Aug 29, 2013 Posts 117 Reaction score 26 Oct 3, 2013 #4 Wakuu naskia kuwa majina yaliyoongezwa na wale waliopata dv four na zero ni kwel wakuu? Tujuze ili kama n wote tukaandke barua
Wakuu naskia kuwa majina yaliyoongezwa na wale waliopata dv four na zero ni kwel wakuu? Tujuze ili kama n wote tukaandke barua
V vice UDOM JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 204 Reaction score 9 Oct 4, 2013 #5 Mapambano kag said: Wakuu naskia kuwa majina yaliyoongezwa na wale waliopata dv four na zero ni kwel wakuu? Tujuze ili kama n wote tukaandke barua Click to expand... majina yote yapo dv 3 had ziro ,mbona me nipo na now naandika barua. we upo kijana
Mapambano kag said: Wakuu naskia kuwa majina yaliyoongezwa na wale waliopata dv four na zero ni kwel wakuu? Tujuze ili kama n wote tukaandke barua Click to expand... majina yote yapo dv 3 had ziro ,mbona me nipo na now naandika barua. we upo kijana