Jkt

KAORGANISM

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
7
Reaction score
2
Wadau mwenye info kuhusu waliopo jkt wanarudi lini? Na kuna vyuo vimeshafungua kama mwenge
 
Wadau mwenye info kuhusu waliopo jkt wanarudi lini? Na kuna vyuo vimeshafungua kama mwenge


Kwa hali halisi ya kambi za mafunzo hawawezi kurudi wote kwa pamoja,wanaweza kutofautiana hadi siku 10...utofauti huu unatokana na uhaba wa bendi za kupiga kwata ya kiapo (kwata ya mwisho)..nasikia kundi la kwanza ruvu jkt wataapa trh 27 so kundi la mwisho linaweza kurudi mwanzoni mwa mwezi wa 10
 
sawa sawa nimekuelewa
 
Wanaapa tar 21 nadhani watarudi soon after hiyo tarehe.Source;Makuruta kutoka kambi 4 tofauti tofauti.
 
wanarudi kuanzia tarehe 27 paka 29..! source jamaa yangu alinipigia simu jana ye yuko kigoma wanarudi tar 27
 
wanarudi kuanzia tarehe 27 paka 29..! source jamaa yangu alinipigia simu jana ye yuko kigoma wanarudi tar 27

Acha mananga yarudi,yameangushia kinoma...tuna mpango tuliopita 1st intake tuwaivishe hao watoto mchele mchele na wale ambao hawajaenda kabisa
 
Acha mananga yarudi,yameangushia kinoma...tuna mpango tuliopita 1st intake tuwaivishe hao watoto mchele mchele na wale ambao hawajaenda kabisa

wazi afande,nikiwa mfuas mzuri nimeidaka xaut yako![updated boy]
 
xaxa iv ninachat na jamaa yangu yupo jkt Tanga anasema wao tareh 22 wanaondoka lakin kwa kambi nyingine cjui xawa mkuu
 
wazi afande,nikiwa mfuas mzuri nimeidaka xaut yako![updated boy]


Poti hawana wema wale wamekula minyama ya jeshi buree...inabid tukikutana nayo chuoni ni DOSO kuroll,kucraw,beba dunia,piga cm,jambo afande za kutosha mpaka wajute kwanini waliangushia
 
Poti hawana wema wale wamekula minyama ya jeshi buree...inabid tukikutana nayo chuoni ni DOSO kuroll,kucraw,beba dunia,piga cm,jambo afande za kutosha mpaka wajute kwanini waliangushia

wazi afande.full maovyoovyo tu wakirudi hao mananga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…