JNIA - 3rd biggest and the most modern Airport in Africa

JNIA - 3rd biggest and the most modern Airport in Africa

God Bless Tanzania we choose to lean forward.....no doubt,utaskia wateja wakifunguka wanapowasili hapa "f*$@c-+k this is European Style"moyoni mwangu huwa nawajibu "Na bado".mtakapotoka hapa na train mpk city center mtakutana na Sgr Station noma sana yenye a hundred million dollars view ya kisasa kabisa,Mdogo mdogo wataelewa. 😂 😂 😂
 
Tuwekee cha kwanza na cha pili.Ndio mjadala uendelee
 
Pwahahahaa, Hata mbwa wetu Jimmy amekata amesema hiyo ni upuzi.
 
Propaganda

IMG_0833.JPG
IMG_0832.JPG
IMG_0294.JPG
IMG_0292.JPG
 
Bado Msalato ya Dodoma, nayo nasikia inaenda kuwa balaa sababu mzee baba Rais wa mainjinia wote wa ujenzi ndio anasimamia show, na kama mumjuavyo huwa hanaga kazi mbovu

Ndio raha ya kuwa na Rais aliyebobea kwenye construction industry
 
Back
Top Bottom