joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
We build a terminal my friend! I know u r getting confused as that terminal is bigger than the whole of JKIA!Kwn mlijenga kiwanja kingine kinachojiita JNIA
1st in East and central Africa!!
!
Nikajua Kwa Sababu Ni Mpya Ingekuwa First Hivi Au Above. Kwa Hiyo Na Mbwembwe Zote Ndio Namba Tatu?
Umetoa wapi hzo taarifa? Eti bigger[emoji1787][emoji1787]We build a terminal my friend! I know u r getting confused as that terminal is bigger than the whole of JKIA!
What happened to this?
Tuwekee cha kwanza na cha pili.Ndio mjadala uendelee
Kwa hiyo hizo picha ndio uthibitisho kuwa ni cha 3 africa? cha kwanza na cha pili ni vipi?[emoji116][emoji116]
Tuwekee cha kwanza na cha pili.Ndio mjadala uendelee
Namuonyesha hyo kizere..manake ssali lako kalikwepaKwa hiyo hizo picha ndio uthibitisho kuwa ni cha 3 africa? cha kwanza na cha pili ni vipi?
Pwahahahaa, Hata mbwa wetu Jimmy amekata amesema hiyo ni upuzi.