JNIA - 3rd biggest and the most modern Airport in Africa


Creative survey at work! Kuitwa "mpumbavu" na mtu ambae simple logic inapingana na anachokieleza ni hillarious. Let me be generous with you na nikubaliane na madai yako. Tunaomba source ya hiyo "information" uliyoileta hapa.

And by the way; definition of survey:
A Survey is defined as a research method used for collecting data from a pre-defined group of respondents to gain information and insights on various topics of interest. Surveys have a variety of purposes and can be carried out in many ways depending on the methodology chosen and the objectives to be achieved.

Am waiting.
 
Sasa kama inaweza kufanyika kwa njia tofauti tofauti ili kupata taarifa husika, kitu gani kinakufanya ushangae kwamba abiria na mashirika ya ndege yanayotumia VIWANJA vya ndege vya Afrika wanaweza kutoa pia nzuri kuhusu " modernity " ya viwanja vya Africa?
 

Acha longo longo mataga. Weka source ya taarifa yako. It doesn't matter the method; leta source.
Btw: naona theme imebadilika sasa toka "largest" hadi kuwa "modern"🤣🤣🤣
 
😂 😂 😂 😂
 
Biggest in terms of what in specific(.Runway size, Structure size , air traffic ama passenger numbers)?
 
Unakojolewa kwa uzi wako Mr Praise Team😂 umetoka from Largest sasa ni "Modernity"!!
 

Wewe Mfia Ujinga acha kukariri mzee
Eti selected Vipi, Wanaweza kuwa walikuwa selected randomly, what is wrong with it?
Rudi shule.
Kwa uandishi wako unaonekana ni Mtu mzima kiumri ila kiakili ni 15yrs Old,
Even Reasoning yako ni ya Hovyo tu, a reason Huna Busara kama Wazee wenzio.
 
Unakojolewa kwa uzi wako Mr Praise Team[emoji23] umetoka from Largest sasa ni "Modernity"!!

Wengi humu hatuna Milengo ya Kisiasa,
As long as we pay Taxes tunataka tu kuona Maendeleo, Nani ni Rais au nani anataka kuwa Rais kwangu haijawahi kuwa Kipaumbee,
This is how things work.
 

You even don't know what yourself wrote. To take issues with you I will have as a necessity to reduce myself at your level of imbecile, and I can't stoop that low even if I really tried.
 
Kitu ambacho nimeng'amua ni kwamba

Nyang'au wengi kiswahili Chao kimepigwa brashi Hapa JF [emoji3]

Endeleeni kuja kwa wingi hiko kiswahili chenu kibovu kibrashiwe Hapa jamvinI
 
Kitu ambacho nimeng'amua ni kwamba

Nyang'au wengi kiswahili Chao kimepigwa brashi Hapa JF [emoji3]

Endeleeni kuja kwa wingi hiko kiswahili chenu kibovu kibrashiwe Hapa jamvinI

And your English is still below sea level..... That's why you Tanzanians including your president can't attempt to go to world's major conferences........... Tutacheka tu
 
Bado Msalato ya Dodoma, nayo nasikia inaenda kuwa balaa sababu mzee baba Rais wa mainjinia wote wa ujenzi ndio anasimamia show, na kama mumjuavyo huwa hanaga kazi mbovu

Ndio raha ya kuwa na Rais aliyebobea kwenye construction industry
Japo Mimi ni mtz ila Hapa umeongezea chumvi

Ina maana huijui professional ya Magu [emoji44]
 
You even don't know what yourself wrote. To take issues with you I will have as a necessity to reduce myself at your level of imbecile, and I can't stoop that low even if I really tried.

Insecure Old Man,
Ndio maana nilisema wewe huna Hekima kama Wazee wenzio. Umeruhusu siasa zimekuingia na zimedhohofisha Ubongo wako.
 
And your English is still below sea level..... That's why you Tanzanians including your president can't attempt to go to world's major conferences........... Tutacheka tu
Kunasababu gani ya kuzurura nje bila manufaa, mambo ya ku shoot blanks Rais wetu hataki.
 
Japo Mimi ni mtz ila Hapa umeongezea chumvi

Ina maana huijui professional ya Magu [emoji44]
Kukaa kwenye wizara ya ujenzi zaidi ya miaka 20 ana kila sifa ya kuwa hata professor kwenye field ya general civil works engineering
 
Hao abiria 9M wameingia lini wakati uwanja umefunguliwa hapa juzi? Busiest Airport inapimwa idadi ya abiria waliotumia uwanja kwa mwaka .Uwezo wa uwanja wa JNIA kwa mwaka ni kuhudumia abiria 6M.
Kinachoangaliwa ni capacity sio waliingia abilia wangapi..ebu shughulisha ubongo wako dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…