Nairoberry
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 932
- 525
JNIA Business/First class lounge jemenj aibuuu tupu . juzi dar nimewasili JNIA kutaka kusafiri Nai kwa sababu mimi usafiri business class nikawa checked in kwa business lounge. jemeni kwanza ilo jumba ni kama la sijui kutoka miaka ya 1900 kama tu fort jesus mombasa. nikasema amna shida kuingia ndani nikaagiza menu jemeni ni samosa soda tu na vichakula vya kiswahili.... kuuliza niitiwe meneja muhindi ndo katokea eti ndio. mwenyewe... sasa sikutaka kubishana nae sana nikamuuliza mbona amna vitu vingine angalau vyakula vya kimataifa.... akasema kwa kawaida wasafiri wengi uwa tu ni wabongo na mahitaji yao yanatosheka. mi ni kanywa soda tu nikisubori. kwa kichwa nilikiwa nawaza tu hawa wajinga wa bongo hapa jf vile wanakiburi kuhusi JNIA na iyo ndege yao moja inayojengwa. aisee wabongo nyinyi mko miaka karibu 100 nyuma ya Kenya.