Nairoberry
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 932
- 525
- Thread starter
-
- #41
bana unajua business clas pale JKIA ni kama uko sijui wapi 6 stars hotel au zaidi kama kuna kitu kama icho. firstly the most expensive drinks in the world whiskeys etc food nayo ni international you can choose chinese italian etc as you relax... i always check in karibu 3-4 hours before so that i enjoy that lounge imagine furaha yangu ya kulipa Business class uwa coz of the lounge hapo pia you meet with CEOs of serious companies in the world si crdb za bongo debt riddenBoss hii story ya hawa wazeiya imekujamisha manze, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujisumbua na mjingaWeka picha hapa ya hiyo lounge bwege weweππ Usitufanye sisi mafala.
Sikunyingine usile story zako za uwongo humu ndaniππ π Stop editing another article then end up saying its yours. We are smart humu ndani mkuu. Huu JF kuna watu wengi wakubwa kwa upande wa TZ. Kuweni makini na uwongo wenu.πππniweke picha manake wewe hujawahi fika hapo jnia.ili nikusaidie kusimuliwa watu uko kijijini vile ulisafiri kwa ndege acha upumba nenda mwenyewe ukapige picha
Jamaa story yake ukiisoma unamuona kuwa ni hasira za Boeing 787-8 πππ Amekaa chini akatafuta story google akasema ni yeyeππ Nibora ange quote akaelewekaππ Huyu mkikuyu wa first class leo kanifurahisha. Mwaswast type zinajitokeza kila siku.Acha kujisumbua na mjinga
ππππππ Wanadai tuko nyuma yao. Tuko tuna wafanya nini ?? π±π±π
ndio haya mafikira ya wasagaji na wengineo akili za tandale high school
Kila mtu na priority yake. Hata Magufuli anapenda sana gari kuliko ndege. Uzuri wa gari una enjoy scenery ya maeneo pamoja nakuongeza exposure. Hakuna usafiri usiokuwa na risk duniani.nimeskia ngombe flani inasema inaogopa kupanda ndegeππππ...ina prefer kusafiri kwa gari hahahahahahaha..exposure hawa watu hawana...which is more safe between an airplane and a car? my friend Barbarosa utakufa mapema...panda ndege...african roads are killers...its like they have grim rippers or something
Movie bado inaendeleaπππbana unajua business clas pale JKIA ni kama uko sijui wapi 6 stars hotel au zaidi kama kuna kitu kama icho. firstly the most expensive drinks in the world whiskeys etc food nayo ni international you can choose chinese italian etc as you relax... i always check in karibu 3-4 hours before so that i enjoy that lounge imagine furaha yangu ya kulipa Business class uwa coz of the lounge hapo pia you meet with CEOs of serious companies in the world si crdb za bongo debt ridden
nakubaliana...gari unaweza enjoy scenery sana....ndege saa zote inaboa....ila barabara za kiafrika ni hatare sana aisee...magufuli anaposafiri magari yanaondolewa barabarani anapopita.....anachungwa sana maana ni rais...ila mwananchi wa kawaida kama una value maisha yako heri upande ndege au treni unless uko europe au marekani...kule ni safe kusafiri kwa magari angalau kidogo kuliko bara hili ambalo usafiri wa barabarani ni kama kusaini death warrant...Kila mtu na priority yake. Hata Magufuli anapenda sana gari kuliko ndege. Uzuri wa gari una enjoy scenery ya maeneo pamoja nakuongeza exposure. Hakuna usafiri usiokuwa na risk duniani.
May be u landed on a wrong Airport. The port for international flights is Terminal 3. Google it...aisee wabongo nyinyi mko miaka karibu 100 nyuma ya Kenya.
Mr First class leo umenifurahisha. Lounge yetu sio mbaya kivile though not very attractive.View attachment 785344 View attachment 785339 View attachment 785341 View attachment 785342 View attachment 785343
Huwa unawasiliana vipi na hao waarabu wenzako kama Kizungu kinakukanganya na kiswahili pia kinakukwepa?Weka picha yako uliyopiga hapo lounge. πππ Ulijua first class wanaipanda kwa kuitaja tuπππ. Kweli wewe bwege. Utawadaganya wakikuyu wenzako lakini sio mtanzania. I can smell that lie a thousand miles awayπππ JF tunaenda na evidence kama ulikuwa hujuiππ Humu sio Naira land au Kenya talk
Its the home of great thinkers. Nibora ukaonyesha hata risti ya EFD ulipo lipia hivyo vitu tutakuaminiππ Lasivyo mimi nakupa kidole cha katiπππ
Fungua thread fasta fasta.Huo uwanja ulishashushwa kiwango hamna hata haja ya kuhangaika akili
Uwanja wa ndege wa DSM(JNIA) washushwa viwango vya ubora kimataifa,Waziri Mbarawa chukua hatua upesi
Mbona kuta zinakaa museum museum hivi?Mr First class leo umenifurahisha. Lounge yetu sio mbaya kivile though not very attractive.View attachment 785344 View attachment 785339 View attachment 785341 View attachment 785342 View attachment 785343