Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Aisee wasije wakavunja bombardier zetu!Itabidi tuwapatie alternate landing ya ATCL kupunguza hasiraππ But my worry ipo kwenye zile pot holes ndogo ndogo.
Hivi unajua kuwa ilipata emergency ya bad weather.?? Pilots wanakuwa wamepewa alternate airport ya kila eneo la hizo ndege. Sub sahara wameichagua JNIA lakini pale labda ikitokea tatizo nikubwa sana na hawezi fika JNIA akiwa ndani ya Sub sahara Africa anaweza angalia uwanja wa karibu zaidi.Hapa inategemea ni emergency ya aina gani.Haiwezekani ndege ipate hitilafu angani badala ya kuangalia uwanja wa karibu eti waanze kuitafuta alternative airport
Nasikia Bam contractors wazuri sana kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege lakini kwa swala la JF Kennedy mpelekee hizo story bibi yakoππRunning way ya JNIA ni bora na imara kuliko uwanja wa John F.Kennedy wa New york.Halina ubishi hilo.
Airport controller ni mfanya kazi airport??????..you winHuyo anae hongea ni mfanyakazi wa Emirates hapa Tanzania. Nahatujabisha kuwa chanzo ilikuwa bad weatherππ±
Tunachosema JNIA ni alternate landing ya ndege zote za Emirates in Sub Sahara Africa
Unajua emergency????Swala la bad weather hatuja kataa. Sasa mbona Haikwenda South Africa au Zimbabwe abazo pia zipo karibu na Mauritius. ??
Unahamka asubuhi unakuta imepigwa jina la Jambo Jet na registration number imebadilishwaππ Pilot anaanza kutafuta ndege kwenye mifuko ya trouser.ππ Usicheze na mtu anaitwa mkikuyuππ Huyo mtu ukimuuliza hata kiwanda chakutengenaza horn ya ndege, Nairobi utapataππAisee wasije wakavunja bombardier zetu!
Ati airport controller anafanyia kazi emirates. Hapo umeshindaAirport controller ni mfanya kazi airport??????..you win
Ni Airport Service Manager wa Emirates at JNIAππ Kumbe ushauli wangu umeuzingatia ? Nahona umeludi muda muhafakaππAirport controller ni mfanya kazi airport??????..you win
We kichaa wa kikenya ndege aikuwa na tatizo ila hali ya hewa ya nchi iliyotakiwa kutua hivyo kuja tz kama ndege ingekuwa na matatizo yenyewe basi hoja yako ingekuwa sawaAirport controller ni mfanya kazi airport??????..you win
Hivi leo umekunywa changaa ukachanganya na Uganda Waraji ?? Au umekunywa jiwe ?? Unakuwa mzito kuelewa. Mwasiti njoo ubebe mwenzako.Unajua emergency????
Hata ikitokea inatatizo lakini ikaona inaweza kufika JNIA kama alternate route inakuja.We kichaa wa kikenya ndege aikuwa na tatizo ila hali ya hewa ya nchi iliyotakiwa kutua hivyo kuja tz kama ndege ingekuwa na matatizo yenyewe basi hoja yako ingekuwa sawa
Alafu tuseme iyo ndegeilikua na emergency ikienda Johannesburg na iko zimbabwe ..itafanya emergency landing Harare ama itarudi hadi dar es salaam..ukinijibu hiyo nakuheshimu
Huyo Collo ni mbishi sana.Harare yenyewe haishuki...uwamja wao bora wakwetu
Kwa taarifa yako Fly Dubai na Qatar pia alternate landing ya Sub sahara ni JNIA. Jua those are brothersπππAti airport controller anafanyia kazi emirates. Hapo umeshinda
Bwana abubakari ameongea kishabiki na sio kitaalam. Ni kweli 380 inatua kwenye viwanja ila sio south africa pekee yake kwa sub sahara.JNIA umechaguliwa na Emirates kuwa alternative airport ndani ya sub sahara Africa kwa ajili ya ndege zao. Hawajatua bahati mbaya.
Distance haikuwa chanzo.ππ
Kwa nini haikuchaguliwa JKIA ??
halafu ni arrogant sana,Huyo Collo ni mbishi sana.
Wewe fala kweli yani unampinga alafu unataka mtu akujuzeππ Wewe twambie ni nchi gani nyingine ya sub sahara Africa inatua zaidi ya South Africa. Unapo pinga inabidi uwe na evidenceπ Sio unaandika tuππBwana abubakari ameongea kishabiki na sio kitaalam. Ni kweli 380 inatua kwenye viwanja ila sio south africa pekee yake kwa sub sahara.
Labda anayejua atujuze zaidi.
Jamaa akubali kushindwa. Nahisi alipokuwa shule yeye aliktwa anamfundisha mwalimu.ππhalafu ni arrogant sana,