JNIA Terminal III

Tunajenga SGR kwazaid ya hizo
Inashindikana kulipika kiaje!
Hizo story za Ufipa Hazina mashiko
Yap its keenly,and well, the debt is generosly diversified. But never reveal your defect to your enemy. It can be used to its advantage.
 
Msimamo wa Nyerere ni kipaji cha Mwenyezi
Mungu baba tangu akiwa tumboni kabla hajazaliwa!
 
Mie nafikiri si vyema kuleta itikadi zetu za vyama kwny jukwaa la Wakenya,siasa zibakie kule huku tuje kama taifa ,chochote kizuri kinachofanyika katika nchi yetu ni kwa maslahi yetu sote,kuwa chama cha upinzani si dhambi na kuwa chama cha upinzani si kupinga au kubeza kila kitu, kwangu upinzani ni kama watchdog,upinzani utusaidie kutumulikia pale serikali iliyopo madarakani inapopindisha maswala fulani yenye maslahi kwa taifa,ipaze sauti wananchi wote tusikie na isiwe kwa unafiki ila kwa maslahi mapana ya nchi yetu sote.
 
Hiviwewejamaambonaunakuwadisgracesanakwaniniusianzishethreadkulekwenyesiasabadalayakeupounsonyeshayourweaknessugenini?
Msamehe bure mara nyingine watu wasiojielewa kama hawa ni kuwaacha tu. You uwabja wa ndege hausiani na politics ukobkwenye mpangilio wa miaka mingi.
 
Hilo limekuuma sindio
Lakini unajua Jengo hilo lilisimama kwa ukosefu wa fedha!
Magu alipo ingia akatoa fedha
Tatizo lipo wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania badoo wslipata uhuru lakini bado hawajajikomboa kifikra kwa hiyo Magu alitoabpesa zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
View attachment 881883
Kwa kiasi fulani nimeshiriki kwny huu mradi,I can say naujua kwa namna moja au nyingine,ni jengo zuri na ni jengo zuri zaidi in terms of facilities,ulaya ulaya kbs, hii picha nimeipiga mwenyewe asbh ya jana wakudamsh,lol.
Vizuri Jitaidini kupiga picha mlio kwenye miradi mbalimbali tz ili tupambane vizuri na nyangau tena tumieni camera hd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…