job application OUTSIDE

UTA WEB YA UN utakuta nyingi za kutosha
 
unapenda thn hujuwi chakufanya? jua kwanza unatakiwa ufanye nini ndo upende.
 
kupige kikombe loliondo kwa babu, then mashirika yatakuwa yana apply kwako
 
Hata mimi natafuta sana popote dunian niko tayari kwenda kufanya kaz,yeyote mwenye kufahamu zaid anijuze jaman,nimesoma human nutrition
 
au labda kama kuna mtu ana details na nchi kama za Rwanda, Botswana, na southAfrica kuhusu job
 
unaacha rasilimali huku anaenda kuwa manamba, kaa tupige hel!
 
mwenyewe nna usongo kudaaadeek.Anaejua jaman jaman jaman.
 
Hata mimi nataka...
Tembelea NAOMBAKAZI.COM au web ya UN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…