noel mndolwa
New Member
- May 3, 2011
- 1
- 0
Duh mbona wa bongo tunakuwa na akili mbaya jamani magreater thnk mnatia aibu, jamaa ameandika vzr tu! Na anaeleweka na hata kama m2 ungekuwa na ubongo wa bata ungemuelewa tu!, ila sio kuponda na kuonyeshana kama mnajua kiingereza. . .
tehteh humu ndani huwez kutoka salama hata kama una ubongo wa bata wataluka na weweDuh mbona wa bongo tunakuwa na akili mbaya jamani magreater thnk mnatia aibu, jamaa ameandika vzr tu! Na anaeleweka na hata kama m2 ungekuwa na ubongo wa bata ungemuelewa tu!, ila sio kuponda na kuonyeshana kama mnajua kiingereza. . .