Job kurudishwa national team Unafki wa kocha hemed moroco umejidhihirisha?

Job kurudishwa national team Unafki wa kocha hemed moroco umejidhihirisha?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu.
Sote tulilaumu sana kwa kipindi kile kocha moroco kutomuita the big brain defender na hata tukapuuzwa kwa chuki zake za kijinga za kocha huyu, leo sasa mwenyewe kajirudi mwenyewe

Hemed.🗣
Dickson Job ni mchezaji wa timu ya taifa na amerudi kwenye timu ya taifa na hii ni baada ya perfomance yake kuongezeka kuanzia pre-season mpaka sasa anacheza vizuri na tumezingatia performance kuliko kitu chochote.. Performance ikiwa nzuri sio kwa yeye tu kwa mchezaji yeyote anaweza kurudi timu ya taifa ya Tanzania "

©️ Hemed Morocco
Kocha Taifa Stars akizungumza leo.
.
.
Baada ya kutomuita mwaka jana :

"Kwangu nikiwa kama kocha wa Taifa Stars, Dickson Job hawezi kucheza kama beki wa kati kwa sababu ya kimo chake na sijamuita kwa sababu sio mzalendo"

©️ Hemed Morocco.

SWALI.

Hivi lini Job alishuka kiwango ? Kocha kakubali upumbavu wake? Au amesarenda kwa the big brain defender?
 
Wakuu.
Sote tulilaumu sana kwa kipindi kile kocha moroco kutomuita the big brain defender na hata tukapuuzwa kwa chuki zake za kijinga za kocha huyu, leo sasa mwenyewe kajirudi mwenyewe

Hemed.🗣
Dickson Job ni mchezaji wa timu ya taifa na amerudi kwenye timu ya taifa na hii ni baada ya perfomance yake kuongezeka kuanzia pre-season mpaka sasa anacheza vizuri na tumezingatia performance kuliko kitu chochote.. Performance ikiwa nzuri sio kwa yeye tu kwa mchezaji yeyote anaweza kurudi timu ya taifa ya Tanzania "

©️ Hemed Morocco
Kocha Taifa Stars akizungumza leo.
.
.
Baada ya kutomuita mwaka jana :

"Kwangu nikiwa kama kocha wa Taifa Stars, Dickson Job hawezi kucheza kama beki wa kati kwa sababu ya kimo chake na sijamuita kwa sababu sio mzalendo"

©️ Hemed Morocco.

SWALI.

Hivi lini Job alishuka kiwango ? Kocha kakubali upumbavu wake? Au amesarenda kwa the big brain defender?
Ngoja waje
 
Wakuu.
Sote tulilaumu sana kwa kipindi kile kocha moroco kutomuita the big brain defender na hata tukapuuzwa kwa chuki zake za kijinga za kocha huyu, leo sasa mwenyewe kajirudi mwenyewe

Hemed.🗣
Dickson Job ni mchezaji wa timu ya taifa na amerudi kwenye timu ya taifa na hii ni baada ya perfomance yake kuongezeka kuanzia pre-season mpaka sasa anacheza vizuri na tumezingatia performance kuliko kitu chochote.. Performance ikiwa nzuri sio kwa yeye tu kwa mchezaji yeyote anaweza kurudi timu ya taifa ya Tanzania "

©️ Hemed Morocco
Kocha Taifa Stars akizungumza leo.
.
.
Baada ya kutomuita mwaka jana :

"Kwangu nikiwa kama kocha wa Taifa Stars, Dickson Job hawezi kucheza kama beki wa kati kwa sababu ya kimo chake na sijamuita kwa sababu sio mzalendo"

©️ Hemed Morocco.

SWALI.

Hivi lini Job alishuka kiwango ? Kocha kakubali upumbavu wake? Au amesarenda kwa the big brain defender?
Ghafla kimo kimeongezeka na uzalendo pia
 
Job alikataa kucheza kama beki wa kulia pale taifa Star, ila akiwa Yanga Huwa anatwanga popote atapopangwa.

Me mwananchi ila Kwa job kukataa majukumu na maelekezo ya coach hakufanya poa
Uongo haukusaidii

Tulete ushahidi hapa mechi ngapi job kacheza kama beki wa kulia national team? Mbona nyingi?

Match za kufuzu afcon alicheza beki ya kulia mara kibao sana tu unataka kusema nini mkuu?

Usipende kuwasikiliza sana wazee kama huyo mpemba muongo muongo
 
Ghafla kimo kimeongezeka na uzalendo pia
Yaani hii nchi imejaa vichekesho vingi sana

Alisema hawezi kumuita mtu asiye mzalendo leo uzalendo sijui umerudi?

Job anatupa somo kusimamia unachokiamini ikiwa hujakosea
 
Job alikataa kucheza kama beki wa kulia pale taifa Star, ila akiwa Yanga Huwa anatwanga popote atapopangwa.

Me mwananchi ila Kwa job kukataa majukumu na maelekezo ya coach hakufanya poa
Hilo ndio alililisahau Utopolo mwenzio.
Mtie dole kwaza astuke
 
Hilo ndio alililisahau Utopolo mwenzio.
Mtie dole kwaza astuke
Match ya kufuzu afcon kati ya Tanzania na Niger na kitu kama na Congo nani alicheza ile kama sio yeye? Mpaka akatoka msuli wa nyuma ya paja ulikaza?

Acheni uzushi na uongo haulipi kuhalalisha uhuni wenu
 
Match ya kufuzu afcon kati ya Tanzania na Niger na kitu kama na Congo nani alicheza ile kama sio yeye? Mpaka akatoka msuli wa nyuma ya paja ulikaza?

Acheni uzushi na uongo haulipi kuhalalisha uhuni wenu
Dogo alijiona star akaambiwa tulia kwanza uone kama hatutacheza
 
Wakuu.
Sote tulilaumu sana kwa kipindi kile kocha moroco kutomuita the big brain defender na hata tukapuuzwa kwa chuki zake za kijinga za kocha huyu, leo sasa mwenyewe kajirudi mwenyewe

Hemed.🗣
Dickson Job ni mchezaji wa timu ya taifa na amerudi kwenye timu ya taifa na hii ni baada ya perfomance yake kuongezeka kuanzia pre-season mpaka sasa anacheza vizuri na tumezingatia performance kuliko kitu chochote.. Performance ikiwa nzuri sio kwa yeye tu kwa mchezaji yeyote anaweza kurudi timu ya taifa ya Tanzania "

©️ Hemed Morocco
Kocha Taifa Stars akizungumza leo.
.
.
Baada ya kutomuita mwaka jana :

"Kwangu nikiwa kama kocha wa Taifa Stars, Dickson Job hawezi kucheza kama beki wa kati kwa sababu ya kimo chake na sijamuita kwa sababu sio mzalendo"

©️ Hemed Morocco.

SWALI.

Hivi lini Job alishuka kiwango ? Kocha kakubali upumbavu wake? Au amesarenda kwa the big brain defender?
Hamna kocha mle.
 
Kwamba hapo awali alikataa kumuita na moja ya sababu za kutomuita ilikuwa ni kimo chake?

Inavyoonekana huyo Morocco hamjui kabisa Franco Baresi na Fabio Cannavaro
Hakuna kocha humu
Anawajua ukute ila ni kiburi tu
 
Job alikataa kucheza kama beki wa kulia pale taifa Star, ila akiwa Yanga Huwa anatwanga popote atapopangwa.

Me mwananchi ila Kwa job kukataa majukumu na maelekezo ya coach hakufanya poa
Wesley Sneijder :-“Samuel Eto'o played left winger for Mourinho when we were at Inter Milan. When the next manager came along and asked of Eto'o to play left winger, he replied: 'No, I only do that for Jose Mourinho'.
 
Wakuu.
Sote tulilaumu sana kwa kipindi kile kocha moroco kutomuita the big brain defender na hata tukapuuzwa kwa chuki zake za kijinga za kocha huyu, leo sasa mwenyewe kajirudi mwenyewe

Hemed.🗣
Dickson Job ni mchezaji wa timu ya taifa na amerudi kwenye timu ya taifa na hii ni baada ya perfomance yake kuongezeka kuanzia pre-season mpaka sasa anacheza vizuri na tumezingatia performance kuliko kitu chochote.. Performance ikiwa nzuri sio kwa yeye tu kwa mchezaji yeyote anaweza kurudi timu ya taifa ya Tanzania "

©️ Hemed Morocco
Kocha Taifa Stars akizungumza leo.
.
.
Baada ya kutomuita mwaka jana :

"Kwangu nikiwa kama kocha wa Taifa Stars, Dickson Job hawezi kucheza kama beki wa kati kwa sababu ya kimo chake na sijamuita kwa sababu sio mzalendo"

©️ Hemed Morocco.

SWALI.

Hivi lini Job alishuka kiwango ? Kocha kakubali upumbavu wake? Au amesarenda kwa the big brain defender?
Eti hakumuita kwa kuwa siyo Mzalendo! Bila shaka mwenzetu ana kipimo cha kuupima huo uzalendo kwa wachezaji.
 
Eti hakumuita kwa kuwa siyo Mzalendo! Bila shaka mwenzetu ana kipimo cha kuupima huo uzalendo kwa wachezaji.
Kaona aibu mwenyewe na kipimo chake hata watu wote wangemshangaa this time Job asingeitwa mkuu
 
Back
Top Bottom