Utakuwa mjinga zaidi Kama hutatambua kuwa bunge limepigwa kwasababu halijaweza kujibeba bunge naona ni muhimili unaobebwa na muhimili wa rais ndiyo maana wanapigwa za macho wangejielewa wasingefika huku walikofika moja ya dhambi kuu ni kuruhudu bunge kuwa la chama kimoja na bado watapigwa mpaka wakome ukitaka jiue tu hakuna jinsi