Job Ndugai huyu hapa, yuko bize jimboni kusaidia wapiga kura

Afukuzwe ubunge kwa kutohudhuria makusudi.
Hajulikani yuko wapi, hakuna mwenye taarifa zake.
Bado hujaridhika tu? Watanzania Chuki za kijinga zinagandisha akili zenu ndo maana hatusogei Taifa lina vijana wa hovyo kama wewe.
 
Hawa wajinga wanadhani Lisu ni issue tena! Lisu anamatatizo ya afya ya akli kila siku kuropoka!
Utapiamlo wa akili ndio unakufanya utapike haya, ungekuwa na akili usingetapika haya mataputapu!
W aliosababisha huu ukilema wake si ndio nyie ?
Nakushauri tumia muda wako mwingi kuomba hekima na busara toka kwa Muumba.
 
Tukio la kupangwa hilo baada ya kuuliziwa bungeni. Katolewa kaonekana kisha karudishwa kizuizini..[emoji23]
Niliwaza hivyo hivyo.

Muone hana nuru maskini.

Kavaa shati za wana.

Ila huyo mdada hapo pembeni, mmmmh
 
Mbona uso unaonesha bado Yuko chini ya ulinzi? Chama Dola mnajua kucheza movie🤣
 
Bado hujaridhika tu? Watanzania Chuki za kijinga zinagandisha akili zenu ndo maana hatusogei Taifa lina vijana wa hovyo kama wewe.
Lazima Ndugai kasoma post za wadau.
Kikombe kile kile alichowanywesha wengine kilikuwa kinamsubiri akinywe , asingeonekana bungeni.
Kashtuka!
Sasa backbencher.
 
Alitumia lugha isiyo ya kibunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…