Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Danga? Am your senior mbuzi wewe, hivi bado uko hapo karibu Na airport Dodoma au kwanza/geita? Nakujua ujue..shauri ako!Danga limekuchoropoka unaleta hasira JF! Bwahahahaha.
Pathetic nincompoop.
Wewe mvuta Bangi wananchi wanajua wewe ndiye uliyempiga Risasi ukitarajia afe ukachukue jimbo wananchi wanajua bila Bashite na wewe kumpiga Risasi asingekuwa huko leo hivyo hawana Tatizo wanasubiria mpaka apone visingizio vyenu vya kijinga jinga bakini navyo huko mnakovutia BangiHili suala wala halihitaji kutatuliwa sijui kwa sheria, hata Biblia inasema: Asiyefanya kazi, asile! Mimi sijui wale waliomchagulia akawawakilishe wapo kwenye hali gani, maana ni ajabu kuona mgonjwa anaongea sana, labda ugonjwa umeamia mdomoni.
Bwahahahaha...Senior my foot.Danga? Am your senior mbuzi wewe, hivi bado uko hapo karibu Na airport Dodoma au kwanza/geita? Nakujua ujue..shauri ako!
Ndungai sasa kawa kasuku hajielewiNdugai kila akiamka anakuja na tamko hili au tamko lile, hatujui kesho atapokea maagizo gani kutokea "juu"!
You are trying so fckn hard to outsmart my agendas, haya bana!Bwahahahaha...Senior my foot.
Sasa wamekuja na kituko kingine cha kifala wanadai eti Tundu Lisu analichafua Taifa, yaani wao waliompiga Risasi wakajua atakufa sasa kapona wanaona aibu wameamua kumchonganisha Tundu Lisu na wananchi kwa visingizio visingizio vya kijinga jinga sana, Taifa ni wananchi watanzania ambao hawakuwatuma kwenda kumpiga Risasi, lakini kwenye kutapatapa ndipo wanazusha UongoCCTV CAMERA ZAONDOLEWA ENEO LA TUKIO UKAKAA KIMYA
MATIBABU YAKE UKAKAA KIMYA
UGONJWA WAKE UKAKAA KIMYA
UZIMA WAKE UKAKUFANYA UANZE KUMSEMA
KUONGEA KWAKE KUKAKERA UKATAMANI UMFUTE UBUNGE NA MSHAHARA
ANGEKUFA UNGELIPWA WEWE MISHAHARA YAKE? UNGEENDA KUWA MBUNGE JIMBONI KWAKE? UNGEONGEZEWA MSHAHARA?UNGEONGEZEWA SIKU ZA KUISHI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Negative 5.0. If you are my "senior" utang'amua hiyo.You are trying so fckn hard to outsmart my agendas, haya bana!
Ni lazima "watu wasiojulikana" tukawajua hivi sasa kutokana na kuweweseka kwao na matendo yao!Uzuri wake duniani watu wengi wanataka kumfahamu rais wa Tanzania aliyepanga mashambulizi ya kutoka kumuua mbunge wake wa upinzani. Mwanaume aliyepigwa risasi 38 na 16 kati ya hizo kumpata.
Ngungai ana high light matendo ya waandamizi wa serikali.
Kuna jambo kubwa linakkwenda kumokea Ndugai atajuta mpaka.Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Akili za job zinaongizwa na wivu tu, anana kama Lissu anafaidi kutembea nchi mbali mbali anadhani hizo pesa za madafu wnazomlipa ndzo zinamfikisha huko. Lissu sio level yao.Lissu kwasasa hana cha kupoteza, Mshahara kwake si kitu....
Yeye Ndugai kama Spika anapaswa kujua hali ya Lissu bila hata Lissu kumtaarifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku wanatupandikizia chuki za kila aina, kuanzia za ukabila, ukanda, itikadi za vyama, udini, nk. CCM wanatafuta civil war katika nchi hii. Kupanda chuki ni kazi rahisi sana.
That's very trueKila siku wanatupandikizia chuki za kila aina, kuanzia za ukabila, ukanda, itikadi za vyama, udini, nk. CCM wanatafuta civil war katika nchi hii. Kupanda chuki ni kazi rahisi sana.