The indigenous
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 312
- 143
Kichaa akimwaga mboga?......Ukiangalia video vema,utabaini kua mhe msukuma alikua katumwa kuuliza swali hilo mapema kabisa,maana kabla ya kipindi cha maswali na majibu siku ya alhamis,uanza maswali kwa waziri mkuu,na kabla ya waziri mkuu Mhe msukuma alisimama na kuomba mwongozo,wakati mwongozo kwa mujibu wa kanuni uombwa wakati kuna jambo lilikua linaendelea kabla.lakini mhe spika akajibu na kukubaliana na msukuma,ule ulikua ni mpango maalumu kabisa,alipomaliza kuutolea maelekezo ndo akaitwa mhe waziri mkuu kuendelea na maswali ya papo kwa papo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza natoa pole kwa Mh Nimrod mkono ambae nae amekuwa nje ya bunge kwa muda mrefu sasa.
Sababu zinazotajwa ni ugonjwa.
Sasa kwa kuwa Bw. Ndugai anajiita ni mpenda usawa. Namwambia akizuia vya Lissu, asisahau na vya Nimrod mbunge wa Butiama.
Ugonjwa hauombwi, nashangaa jinsi Ndugai anavyojitia umungu.
Muda wa kukanyaga sheria sasa. "Tuko vizuri"
Tuache siasa,hata ungekuwa wewe ndio muakiri wa Lissu usingemlipa mshahara kutokana na sababu zifuatazo,1.Ukiwa mgonjwa na mwajiri wako anajua mgonjwa umelazwa hospitali utastahili uipwe mshahara sababu upo hospitalini umelazwa na unaumwa,lakini ghafla anakuona mgonjwa haupo hospitalini na hujatoa sababu ya kutokuwepo hospitalini ,halafu anakuona ukiserebuka mdumange kwenye vijiji vya mbali basi ,mosi atakuona umepona na pili atakushangaa kama umepona na unaweza kwenda kucheza ngoma vijiji vya mbali badala ya kurudi kazini hapo si utakuwa umjiachisha kazi.Tushukuru tanzania sio kama nchi za Ulaya au Marekani,haiwezekani mgonjwa ukaonekana mitaani unafanya yako wakati ruksa yako ilikuwa ya ugonjwa halafuuje udai mshahara,hilo ni kosa la wizi na hapo hapo Lissu angekuwa rupangoKwanza natoa pole kwa Mh Nimrod mkono ambae nae amekuwa nje ya bunge kwa muda mrefu sasa.
Sababu zinazotajwa ni ugonjwa.
Sasa kwa kuwa Bw. Ndugai anajiita ni mpenda usawa. Namwambia akizuia vya Lissu, asisahau na vya Nimrod mbunge wa Butiama.
Ugonjwa hauombwi, nashangaa jinsi Ndugai anavyojitia umungu.
Muda wa kukanyaga sheria sasa. "Tuko vizuri"
Au ampigie simu?Kwani siku zote hizo alikuwa wapi kuomba report ya Daktari .... why now!!?
TL kutokuwa wodini haimaanishi kuwa haumwi ..... Kwa nini asimuandikie barua Lissu kumuuliza!!?
Sehemu gani ya nchi imechafuka? Imechafukaje?Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
PimbiRisala imehifadhiwa..unajua lissu hana muda mrefu wa kuishi ee..taarifa za kitaalam kutoka ubelgiji zinasema hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha tu zinaonyesha Lissu anatembea kwa magogo. Inatosha tu kukuambia Bado mgonjwa. Utaombaje report ya Dr. Wakati humfanyii matibabu mfanyakazi wako?
Nawashauri wasijaribu kufanya hili, maana kitakachotokea ni jamii kuingia huruma ambayo itaongeza Lissu kupendwa na jamii hiyo lakini pia Jamii kumchukia Ndugai na Serikali kwa ujumla.Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Uamuzi huu sio sahihi ndugu yangu, ni kujiongezea chuki dhidi ya jamii na kuongeza Lissu kupendwa na wanyonge!! Ikifikia hapo mtataka kujua nani amemchangia Lissu , lkn itakuwa haina msaada tena na zaidi mtakuwa mme double-loose love na credibility kwa wananchi!Mmechelewesha sana huo uamuzi Ndugai fanyeni haraka. Kama kuna mzigo kwenye akaunti yake nao uchukueni kabisa kufidia, hawezekani tunalipa kodi halafu mnawapa watu kirahisi tu
Yani hawa wanashindwa kuangalia vitu vyakutusaidia nakuwa makini kama na mawaziri kama mpina anasema wavuvi warudishiwe malizao bila mashariti yoyote sasa wanaotekeleza wanasema engine nilazima zikombolewe lakini generector mataa ndio vitatoka bure sasa amesema wapewe Mali zao bila mashariti engine sio Mali zao?kusema au kutamka bila mashariti kwa hali hiyo bado waziri kauli yake inamaana kweli sasa badala ya kuangalia haya mambo yaonezi wapo bize na wivu walisu nani anafatilia nakutekeleza kauli zamwaziri ajipime ajione mwenyeweIpo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?