Tulia ww subject mwenzangu, jamaa yuko anapigana tuwe citizensNi kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..
Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Nimrod Mkono yupo wapi? Mmemsimamishia malipo nae?Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..
Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Nakuelewa sana Mbatizaji, ndo maana wenzio wote tukio la Itigi wamejifanya hawajalisikia umebaki ukitoa pole na karipio peke yako toka Lumumba.Kwani aliwahi kuwa na ripoti yoyote ya daktari wa Lisu?!.......... Mnara wa babeli
Jamaa amepona kabisa, anazuga tu. Angalia sasa anataka kuanza kupigana na Masilingi studio na bado anajidai ni mgonjwa. Akatiwe mshahara mapema iwezekanavyo.Ni kweli jamaa anachukua malipo bila kufanya kazi..
Akiambiwa arudi kazini anadai anaumwa ila yupo busy kufuata Interview za TV miji Mbali Mbali duniani akialikwa Australia ataenda ila kwenda kufanya kazi bungeni hataki.
Kama sisi Wananchi hatuchafuki hiyo nchi inachafukaje? Sema ccm inachafuka usijumuishe wananchi wote.Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
Dr Mtambuka ulimfanyia lini Lissu assessment mara ya mwisho?Jamaa amepona kabisa, banazuga tu. Angalia sasa anataka kuanza kupigana na Masilingi studio na bado anajidai ni mgonjwa. Akatiwe mshahara mapema iwezekanavyo.
Swali zuri sana hiliNimrod Mkono yupo wapi? Mmemsimamishia malipo nae?
Jana ilikuwa mara ya mwisho.Dr Mtambuka ulimfanyia lini Lissu assessment mara ya mwisho?
Ulisafiri kwa ungo au?Jana ilikuwa mara ya mwisho.
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya