Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Aliyeitia Shimon hii nchi ni yule mshamba alielala kuzimu
 
Ikipigwa mnada ndio akili zitaturudi kichwani mwetu, kwakuwa tumeshindwa kutekeleza wajibu wetu.
 
Umeongea point kabisa,

Nnachokiona ndugai alkua anamuogopa Sana magufuli,

Kwa uyu mama naona keshajipima ubavu kaona anammudu ndomaana anamkosoa hadharan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaamu kujitutumua.
Na kwa hili naamini hayuko peke ake, atakua na wafuasi wa kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa kweli waweza kuwa wauaji kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…