Job Ndugai kakumbusha utaratibu mzuri ambao ulishasahulika Tanzania. Tuuendeleze

Job Ndugai kakumbusha utaratibu mzuri ambao ulishasahulika Tanzania. Tuuendeleze

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Mara ya mwisho Tanzania kuona kiongozi aliyeshukiwa kufanya makosa akambiwa ajiuzulu na akatekeleza, ilikuwa ni mwaka 2008 ambapo Lowassa alijiuzulu kutoka kiti cha uwaziri mkuu. Hivi majuzi kuna Waziri alishukiwa kufanya maamuzi "nonsense" akaambiwa ajiuzulu, ikawa kimya.

Lugola alifokewa hadharani na hayati magufuli kwa kuruhusu mkataba mbovu wa vyombo vya zima moto, hakukjiuzulu hadi alipotumbuliwa. Enzi za Nyerere ilikuwa ni kawaida kwa viongozi kujizulu inapoonekana makosa katika maeneo wanayoongoza: mifano hai ni Mzee mwinyi na Mtei, lakini walikuwepo wengi sana waliokuwa anatanguliza barua za kujiuzulu, halafu rais anawapangia sehemu nyingine ( jambo ambalo ni mojawapo ya makosa ya Nyerere wakati huo).

Ndugai kaonyesha kuwa utamaduni wa kujiuzulu bado upo, sasa huko tuendako tunategema yeyote akifanya makosa ajiuzulu bila kusubili kutumbuliwa!
 
Mzee Kichuguu i have much respect to you mzee wangu. Ndugai kalazimishwa kujiuzulu na amejiuzulu kukwepa aibu ambayo ingeenda kumpata. Ndugai ni mtu asiye na haya na alilewa madaraka na kujiona yeye ni mtu asiyeguswa.

Ccm kujiuzulu ni mpaka shinikizo. Na tushukuru ujio wa hii mitandao ya kijamii. Kwa kifupi ndugai alikuwa wa hovyo kabisa. Yeye na magufuli ndio watu waliowahi kuombewa vifo. Mungu akajibu maombi kwa Magufuli na kwa ndugai kamjibu jana.
 
Mzee Kichuguu i have much respect to you mzee wangu. Ndugai kalazimishwa kujiuzulu na amejiuzulu kukwepa aibu ambayo ingeenda kumpata. Ndugai ni mtu asiye na haya na alilewa madaraka na kujiona yeye ni mtu asiyeguswa.

Ccm kujiuzulu ni mpaka shinikizo. Na tushukuru ujio wa hii mitandao ya kijamii. Kwa kifupi ndugai alikuwa wa hovyo kabisa. Yeye na magufuli ndio watu waliowahi kuombewa vifo. Mungu akajibu maombi kwa Magufuli na kwa ndugai kamjibu jana.
Kwa mujibu wa Katiba iliyopo, alikuwa na uwezo mkubwa sana kuzuia hoja ya kumuondoa madarakani isiletwe mbele ya kikao cha bunge. Kwa taarifa yako tu!
 
Back
Top Bottom