Job Ndugai katuachia laana

Job Ndugai katuachia laana

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Upo uwezekano wa vizazi vitakavyokuja huko mbeleni kumuona job ndugai shujaa aliyekataliwa na jamii nzima.

Hebu fikiria miaka kadhaa ijayo wajukuu wetu watakuta hali gani ya madeni na maendeleo kiasi gani?

Ikiwa watakuta nchi yetu ina madeni makubwa sana na huku maendeleo hakuna watarudi kwenye historia na kusoma kuwa miaka ya 2000 kulikuwa na spika wa bunge ambaye aliishauri serikali iache kukopa.

Kwa ushauri wake huo raisi alikasirika na jamii ikamshambulia kutoka kila kona na spika huyo aliamua kujiuzuru.

Wajukuu zetu wakikuta hayo wanaweza kumuona Job Ndugai shujaa na jamii nzima tunaomzodoa job leo tuonekane wapumbavu.

Let us work very hard to prove Job Ndugai wrong over generations.
 
Laana atabaki nayo mwenyewe kwani kabla ya kujiuzulu aliikana hoja yake na kudai kuwa ile clip ilieditiwa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
... hiyo ndio ilifuta uzuri wa hoja yake for good! Alijonesha waziwazi ni mtu asiye na msimamo na mchumia tumbo. Kiongozi wa namna hiyo sio bold kuongoza mhimili kama Bunge kama inavyotakiwa that's why ni Bunge kibogoyo according to Prof. Asad, et. al.
 
Upo uwezekano wa vizazi vitakavyokuja huko mbeleni kumuona job ndugai shujaa aliyekataliwa na jamii nzima.

Hebu fikiria miaka kadhaa ijayo wajukuu wetu watakuta hali gani ya madeni na maendeleo kiasi gani?

Ikiwa watakuta nchi yetu ina madeni makubwa sana na huku maendeleo hakuna watarudi kwenye historia na kusoma kuwa miaka ya 2000 kulikuwa na spika wa bunge ambaye aliishauri serikali iache kukopa.

Kwa ushauri wake huo raisi alikasirika na jamii ikamshambulia kutoka kila kona na spika huyo aliamua kujiuzuru.

Wajukuu zetu wakikuta hayo wanaweza kumuona Job Ndugai shujaa na jamii nzima tunaomzodoa job leo tuonekane wapumbavu.

Let us work very hard to prove Job Ndugai wrong over generations.

Laana ya Lissu ndio inamtafuna. Alimsakama Lissu mpaka akamuondolea ubunge. Aondoke zake speaker wa hovyo kuwahi kutokea, anafuga wabunge wasiokuwa na chama kinyume Cha katiba. Watakaokumbukwa vizazi vijavyo Ni akina Lissu waliopigwa risasi karibu ya kufa kutokana na msimamo wake. Pia mbowe atakimbukwa na vizazi vijavyo kwa kukubali kupoteza vyote na kukaa jela kwaajili ya anachokiamini.
 
Huyu mpuuzi akachunge ng'ombe tu dadeq zake.
 
Kuwa na msimamo ni jambo la muhimu sana, unapokosa msimamo basi huna tofauti na kigeugeu ambaye hata iweje ni ngumu kuwa mfano kwa vizazi vijavyo.
 
Upo uwezekano wa vizazi vitakavyokuja huko mbeleni kumuona job ndugai shujaa aliyekataliwa na jamii nzima.

Hebu fikiria miaka kadhaa ijayo wajukuu wetu watakuta hali gani ya madeni na maendeleo kiasi gani?

Ikiwa watakuta nchi yetu ina madeni makubwa sana na huku maendeleo hakuna watarudi kwenye historia na kusoma kuwa miaka ya 2000 kulikuwa na spika wa bunge ambaye aliishauri serikali iache kukopa.

Kwa ushauri wake huo raisi alikasirika na jamii ikamshambulia kutoka kila kona na spika huyo aliamua kujiuzuru.

Wajukuu zetu wakikuta hayo wanaweza kumuona Job Ndugai shujaa na jamii nzima tunaomzodoa job leo tuonekane wapumbavu.

Let us work very hard to prove Job Ndugai wrong over generations.
Labda ww na ukoo wako
IMG_20220107_143809.jpg
 
Back
Top Bottom