Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
WAJUMBE MPAKA WATISHWE NDIO WAPITISHE BAJETI YA CHAMA
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewaambia Wabunge kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 90(2)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kuvunja Bunge endapo litakuwa limekataa kupitisha bajeti ya serikali iliyopendekezwa.
Ameyasema hayo leo, Juni 22 ambayo ni siku ya kuhitimisha bunge la Bajeti. Ambapo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni 229 wabunge wanapiga kura za wazi kwenye kupitisha bajeti hiyo.
Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Serikali imependekeza bajeti ya Tsh. Trilioni 36.26
Profile picture hiyo huwa naichanganya na yule taga @stroke . Nakuomba uibadili kwa heshima yako tu, maana michango yako humu jukwaani huwa ni objective zaidi. Tofauti na yule taga muimba mapambio, ingawa siku hizi amwadimika sana jukwaani, vinginevyo useme kama wewe ndiye, uliamua kubadili gia anganiWabunge wanapaswa kuishauri serikali na sio kuruhusu Kila jambo kupita,
Maslahi ni ya watanzania, jambo la msingi zaidi.
Siku hizi wako wale wanaotafuta sifa kuanza kujipendekeza kwa wananchi waonekane "vichwa"Bunge la ndugu-yai sio bunge bali Ni circus.
Kuanzia covid 19 wote Hadi baadhi ya wabunge wa majimbo sio chaguo la wananchi. Mfano gwajiboy kacuaguliwa na Nani? Au da Joy.
Sijaona mbunge wa kuikataa bajeti... Ingekuwa kipindi kile asingethubutu kuongea haya
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewaambia Wabunge kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 90(2)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kuvunja Bunge endapo litakuwa limekataa kupitisha bajeti ya serikali iliyopendekezwa.
Ameyasema hayo leo, Juni 22 ambayo ni siku ya kuhitimisha bunge la Bajeti. Ambapo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni 229 wabunge wanapiga kura za wazi kwenye kupitisha bajeti hiyo.
Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Serikali imependekeza bajeti ya Tsh. Trilioni 36.26
Sasa huyo Ndugai anakuwa kama haijui kazi ya Bunge?
Bunge kazi yake kubwa ni kuikosoa serikali kwa yale mapendekezo watakayokuwa wameyaleta.
Hivi yeye Ndugai anataka Bunge letu liwe la "rubber stamp" pekee?
kipenggele gani kavunja kama kweli wewe unajuwa katiba hebu kitaje maana wengine mnakujaga kuharisha tu hapa jukwaani hata hiyo katiba huijuiHivi huyu Ndugu yai anaongelea katiba ya Somalia au hii hii anayoendelea kuivunja kwa mapenzi aliyonayo kwa mzee Halima?
Tega nikutege....,Hawa jamaa zetu walivyo na njaa,nani atathubutu apinge!?
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewaambia Wabunge kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 90(2)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kuvunja Bunge endapo litakuwa limekataa kupitisha bajeti ya serikali iliyopendekezwa.
Ameyasema hayo leo, Juni 22 ambayo ni siku ya kuhitimisha bunge la Bajeti. Ambapo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni 229 wabunge wanapiga kura za wazi kwenye kupitisha bajeti hiyo.
Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Serikali imependekeza bajeti ya Tsh. Trilioni 36.26
@boya2021.kipenggele gani kavunja kama kweli wewe unajuwa katiba hebu kitaje maana wengine mnakujaga kuharisha tu hapa jukwaani hata hiyo katiba huijui