Wizara gani maana kila wizara inayo wa kwakeHabari za Leo wataalamu na wabobezi wa fani mbalimbali.
Niende Moja kwa Moja kwenye Maada. Naomba mwenye waraka/Mwongozo wa muundo wa kiutumishi (job schemes) unaosimamiwa na wizara husika anisaidie maana nimeutafuta kwenye tovuti ya utumishi nimeukosa na kwenye searching engine zingine haupo,Nina shida nao sana.
Katika hiyo wizara una taka kada gani?Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala bora
πππKatika hiyo wizara una taka kada gani?
Zipo kibao... schemes ni nyingi
Naomba unisaidie ya Mahakama kama una access nayo mkuuWaraka wa maendeleo ya utumishi wa umma TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORAView attachment 2393867
Boss naomba nisaidie waraka wizara ya maji. Msaada wako tafadhali.Waraka wa maendeleo ya utumishi wa umma TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORAView attachment 2393867
Naomba unitumie wa wizara ya fedha na mipangoWaraka wa maendeleo ya utumishi wa umma TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORAView attachment 2393867