Jobs at Seacom

Vitendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
582
Reaction score
103
www.seacom.mu/careers/careers.html
watanzania tupo jamani ebu tuchangamke basi nafasi ndo hizo za kufanya kazi kwenye nchi zetu za africa na kupata pesa si lazima tunde ulaya na marekani...humu humu tu tutoke jamani mpo wadau?
 
Ni habari njema mkubwa unaonyesha moyo wa kizalendo! Kuna watu niliwahi kuwajulisha nafasi za kazi gazetini na walipozama library walikuta wakubwa wametambaa na kurasa za matangazo ya kazi yaani wamezichana. Nadhani wafupi wa fikra ila kwa njia hii ya website sidhani kama wanaweza kuzihujumu.
 
kaka ni kweli bwana majuu kitu gani.ku-fight hapa hapa bongo
kwa kweli we ni mzalendo kweli let us keep in touch.
 
Watu kama hawa ni muhimu sana kwa jamii yetu! Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…