Escobber pablo
JF-Expert Member
- Jun 17, 2024
- 302
- 695
Rais wa Marekani, Joe Biden (81) yuko karantini kwa muda baada ya kupimwa na kugundulika kuwa na ugonjwa wa UVIKO-19, kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu ya Marekani, White House.
Ugonjwa huo unakuja wakati ambao Biden anakabiliwa na shinikizo kubwa la kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha urais dhidi ya mgombea mteule wa Republican, Donald Trump kutokana na umri mkubwa na utendaji usioridhisha.
Ugonjwa huo unakuja wakati ambao Biden anakabiliwa na shinikizo kubwa la kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha urais dhidi ya mgombea mteule wa Republican, Donald Trump kutokana na umri mkubwa na utendaji usioridhisha.