Joe Biden amesema Ukraine 'imesimama huru'

Joe Biden amesema Ukraine 'imesimama huru'

HERY HERNHO

Senior Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
110
Reaction score
458
Biden amesema Mataifa ya Magharibi hayana njama ya kuishambulia Urusi kama Putin alivyosema leo," Biden alisema. "Mamilioni ya raia wa Urusi wanataka tu kuishi kwa amani na majirani zao sio adui."

Pia Biden amesema Nitarudia usiku wa leo niliyosema mwaka jana mahali pale pale. Dikteta aliye na nia ya kujenga upya himaya hataweza kamwe kupunguza upendo wa watu wa uhuru. Ukatili kamwe hautapunguza mapenzi ya mtu huru. Na Ukraine haitakuwa ushindi kwa Urusi kamwe."

Kwa nini Biden yuko Poland?
Poland inatafuta uwepo mkubwa zaidi wa wanajeshi wa Marekani kwenye eneo lake.
Siku ya Jumapili, Waziri Mkuu wa Poland Mateusz Morawiecki alisema, "Tuko katika mchakato wa majadiliano na utawala wa Rais Biden kuhusu kufanya uwepo wao [wa askari] kuwa wa kudumu zaidi

Juni mwaka jana, Biden alisema Marekani itaanzisha makao makuu mapya ya jeshi nchini Poland kujibu vitisho vya Urusi.

speech ya biden aliyoongea huko poland muda huu ipo katika comment
 

Attachments

  • 64778868_803.jpg
    64778868_803.jpg
    28.9 KB · Views: 5
"Ukraine haitakuwa ushindi kwa Urusi kamwe."kwa kauli hii Putin kazi anayo haswaa.
Kauli tu hiyo ya kujifariji hata Bambo anaweza akaitoa. Naona Biden anatumia nguvu kubwa sana kuhamashisha NATO kuwa kitu kimoja maana anajua bila NATO, USA ni sawa na joka la kibisa. Na kichapo NATO watakachokipata hapo Ukraine sidhani kama umoja wao utaendelea kubaki imara. Itafikia kipindi nchi za ulaya zitagoma kupeleka watu wao ktk shimo la umauti maana kila watakaoenda hawatarudi
 
Kauli tu hiyo ya kujifariji hata Bambo anaweza akaitoa. Naona Biden anatumia nguvu kubwa sana kuhamashisha NATO kuwa kitu kimoja maana anajua bila NATO, USA ni sawa na joka la kibisa. Na kichapo NATO watakachokipata hapo Ukraine sidhani kama umoja wao utaendelea kubaki imara. Itafikia kipindi nchi za ulaya zitagoma kupeleka watu wao ktk shimo la umauti maana kila watakaoenda hawatarudi
Amka utakojoa kitandani wewe.
 
Back
Top Bottom