Tena huyo mpuuzi alisikika akiongelea chumbani kwa mama yakoAlisikika Mpuuzi mmoja wa Namtumbo Akisema
Moto uwake tuu kila siku africa tu na kwao kinuke
Hapo mwishoni naona unataka kuamsha mjadala ndani ya mjadala [emoji3]"Putin alinukuliwa akisema kuwa wakazi wa maeneo ya Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhzhia wameichagua Urusi licha ya Serikali ya Ukraine kupinga maamuzi hayo."
YUPO SAHIHI KAMA JECHA KIPINDI KILE. TZ TUNAIPENDA CCM NDO MAANA TUMETULIA.
🙂🙂Hapo mwishoni naona unataka kuamsha mjadala ndani ya mjadala [emoji3]
Biden hana ubavu huo ingekuwa nchi zingine zamani wameisha weka no fly zoneBabu Biden ni tapeli, kamponza Zelensky wa watu yeye anabwabwaja tu... apeleke jeshi pale Ukraine, mbona Libya aliweka no fly zone, wanashindwa nini pale Ukraine?