Joe Birden pardons his son Hunter ahead of departure from office.

Joe Birden pardons his son Hunter ahead of departure from office.

Nunua Toka UK

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2023
Posts
265
Reaction score
540
IMG_0134.jpeg
 
Trump alipitia mchecheto wa kimahakama na walipo shindwa walitaka kumwua
 
Biden alijua asipofanya hivyo, na ushaidi wote wa kimazingira na evidence uko wazi na alikiri kosa
Trump lazima angemtia nyavu
 

Mtume alikuwa hapendelei hata kwa wanawe. Kuna hadithi inathibitisha hivyo
Hadithi yenyewe inasema:
"Wallahi, lau Fatimah binti Muhammad angeliiba, ningemkata mkono wake."
(Imepokelewa na Bukhari na Muslim)

Muktadha wa Hadithi

Hadithi hii ilisemwa wakati wa tukio ambapo mwanamke wa heshima kutoka kabila la Quraysh alishikwa kwa kosa la wizi, na baadhi ya watu walitaka kuingilia ili apate msamaha kwa sababu ya nafasi yake kijamii. Mtume Muhammad (S.A.W) alikataa kupendelea na alisisitiza kwamba sheria ni sawa kwa kila mtu, bila kujali hadhi au uhusiano wake.

Funzo kutoka kwa Hadithi

1. Uadilifu kwa Wote:
Sheria za Kiislamu hazipaswi kuwa na upendeleo; zinafaa kutumika kwa usawa kwa watu wote.


2. Uongozi wa Kiadilifu:
Mtume alionyesha mfano wa uadilifu wa kweli, akiweka misingi kwa viongozi na wafuasi wake kwamba haki inapaswa kutekelezwa kwa usawa.


3. Kujiepusha na Upendeleo wa Familia:
Hata mtu wa karibu zaidi, kama mwanawe, asingependelewa katika utekelezaji wa sheria.
 
Mtume alikuwa hapendelei hata kwa wanawe. Kuna hadithi inathibitisha hivyo
Hadithi yenyewe inasema:
"Wallahi, lau Fatimah binti Muhammad angeliiba, ningemkata mkono wake."
(Imepokelewa na Bukhari na Muslim)

Muktadha wa Hadithi

Hadithi hii ilisemwa wakati wa tukio ambapo mwanamke wa heshima kutoka kabila la Quraysh alishikwa kwa kosa la wizi, na baadhi ya watu walitaka kuingilia ili apate msamaha kwa sababu ya nafasi yake kijamii. Mtume Muhammad (S.A.W) alikataa kupendelea na alisisitiza kwamba sheria ni sawa kwa kila mtu, bila kujali hadhi au uhusiano wake.

Funzo kutoka kwa Hadithi

1. Uadilifu kwa Wote:
Sheria za Kiislamu hazipaswi kuwa na upendeleo; zinafaa kutumika kwa usawa kwa watu wote.


2. Uongozi wa Kiadilifu:
Mtume alionyesha mfano wa uadilifu wa kweli, akiweka misingi kwa viongozi na wafuasi wake kwamba haki inapaswa kutekelezwa kwa usawa.


3. Kujiepusha na Upendeleo wa Familia:
Hata mtu wa karibu zaidi, kama mwanawe, asingependelewa katika utekelezaji wa sheria.
Kwa hiyo na mimi nioe mtoto wa miaka 9?
 
Kwa hiyo na mimi nioe mtoto wa miaka 9?
Nabii Nuh (Noah, A.S)

Nabii Nuh (A.S) anatajwa kuwa mmoja wa manabii waliishi kwa muda mrefu sana. Katika Qur'an, Mwenyezi Mungu anasema:

"Na hakika tulimtuma Nuh kwa watu wake, naye akakaa nao miaka elfu isipokuwa miaka hamsini."
(Surat Al-Ankabut, 29:14)

Hii inaonyesha kwamba Nabii Nuh alikaa na watu wake kwa miaka 950 akiwa katika juhudi za kuwalingania kwenye ibada ya Mwenyezi Mungu kabla ya adhabu ya mafuriko.
 
America has Laws and Loopholes for the Laws.., In short anything is possible and the President is the de-facto King... or should I say the Maxim no one is above the Law is for Some..., As animal farm reminded us some animals are more equal than others...
 
Akifanya museven Nongwa ila kafanya Biden poa tu
 
Hili jambo lingefanywa na kiongozi wa Africa ,au kiongozi wa nchi iliyo kinyume na itikadi za kimagharibi ,sasa hivi vigagura vilivyo jivisha umagharibi vikiongozwa na yoda ,na analowa ,vingekuwa vimejaa humu vikitoa kejeli za kila aina.
 
Back
Top Bottom