Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

Wewe unaujua mpira vyema na ulisema ukweli kabisaaa
Mkuu mm nafuatiliaga Sana tmu za Spain uefa yaani hzo timu kwenye ligue yao n wabovu Sana lakn uefa subutu yaan utadhan wanakauchawi flani hivi nakuhakikishia real Madrid kwa Sasa mbovu Sana lakn ingefika hatua ya nusu fainal unaweza kujiuliza hii tmu ilikuwaga wapi yaan wanacheza Kama syo wale wabovu. Spain kwenye uefa n hatar Sana na timu za England kwenye uefa labwa zikitane zenyewe kwa zenyewe ndo zitoane lakn iitoe tmu ya Spain uefa haiwezekan.
 
Tatizo kubwa hii mechì ya Barca vs Liver imevamiwa na mashabiki wa Real madrid + CR7 hawa kwao hii mechi imekuwa kama kichaka wanachokifanya ni kui overrate Liveřpool + VVD wakati hamna lolote

Kinachotokea mliewapa dhämana wanawaaibishaa

King Mèssi anachukua kilä kitu msimu huu
 
Zikutane zenyewe Kwa zenyewe maandazi kwa maandazi
 
Shida watu wanaweka ushabiki kwenye vutu vya uhalisia mm n arsenal na naipenda sana lakni penye ukweli naweka ushabiki pemben Ni sawa na Yule mwingine analeta mahaba ananiambia liverpool n nzur kulko man city ,Kuna tmu nzuri na yenye washambuliaji hatar uingereza kama man city? Penye ukweli tuacheni ushabiki acha ukweli utawale liver pool Mara ya mwisho kuchukua EPL n lini na je man city Mara ya mwisho kuchukua n lini? Man city ndo tmu pekee yenye kikosi kipanda na yenye mastriker hatar uingereza nzima hao jamaa wanashambulia hujapata kuona . Man city ingekuwa ndo liver Leo lazma ingetoka na goli na man city ndo tmu pekee uingereza ambayo swala la magoli syo tatazo hata ukishinda labda uifunge 1-0 lakn huwez kuifunga 3-0 never
 
Zikutane zenyewe Kwa zenyewe maandazi kwa maandazi
Yaani toterham kang'ang'ania hukumu isiyo muhusu anaenda kufa Tena hko Netherlands ,MAN CITY ingepita ungeona mziki wake maana man city wana formation moja hatari yaan wanashambulia hujapata kuona na mbinu pekee ya kujilinda syo kupaki Basi hapana Bali n kushambulia nakuhakikishia MAN CITY ISINGEPIGWA 3-0 hyo Nina uhakika nayo 100%
 


Ukitaja ukatili wa kijinsia huwezi acha huu king anavyowafanya wenzie 😀😀
 
Ninachokiona Liver lazima apate goal(s) ugenini na akifungwa tofauti haitozidi goal moja.
Barca anapokutana na team ambayo hukabia juu hupata shida sana kwakuwa wao wanajenga mashambulizi kuanzia kwa goalkeeper. Kwangu mie Barca atatolewa
Hongera mkuu kwa utabiri mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…