Nilikwambia kwamba mpira haujui, ila una mahaba, recod huwa zinawekwa ili zivunjwe.....hakuna timu bora duniani ya mda wote kwa sababu wote ni wanadam , leo uko juu kesho unashushwa, maisha huwa yanaenda hvyo....SASA NATAKA NIONE MM NA WW NANI ANAJUA TIMU VZURI NA NAKUAMBIA ENDELEA KUSUBIRI LIVER IFUNGE BARCA BADO DAKIKA CHACHE TUKITANE CAMP NOU. MZEE MM SIONGELEI USHABIKI NAONGELEA UHALISIA TMU PEKEE UINGEREZA INAYOISUMBUAGA BARCA N CHELSEA NA KIDOGO ARSENAL. NAANGALIA FORMATION SIANGALII UKUBWA WA TMU MIMI.
ball possessionNilikwambia kwamba mpira haujui, ila una mahaba, recod huwa zinawekwa ili zivunjwe.....hakuna timu bora duniani ya mda wote kwa sababu wote ni wanadam , leo uko juu kesho unashushwa, maisha huwa yanaenda hvyo....
Tunaojua mpira tulifahamu mapema makosa ya baca, haina defence imara dhidi ya kasi ya liverpool, hata huko camp nou, liver ilikosa magoli mawili ya wazi kabisa, na ikaongoza ballposition dhidi ya baca
Sisemei kwamba Liver itachukua UCPl ila ina nafas kubwa ya kufanya hvyo...
Hii ndo ilikuwa post yangu..watu walisema sjui mpira, post yangu namba 76 ya huu uziSamahani lakni, Liverpool atachukua ndoo, sioni beki ya kumzuia Mane mimi....
Shkamoo live kindaki ndakiHawa jamaa hawachomoki wakija Anfield
Ngoma bado
hahahahahahuuuuuuMlisema anakufa Nou Camp sasa hivi mshageuza eti anfield [emoji23] [emoji23] mumfunge barc 4-0 kwa kikosi kipi?? Mkubali tu liver msimu huu kubeba kikombe chochote labda waibe
[emoji3][emoji3][emoji3]Vipi ushavua? Mnateseka sana...Barca kuifananisha na liver ni upumbavu tu.
Kwa kuandika sawa,sio uwanjaniWewe unaujua mpira vyema na ulisema ukweli kabisaaa
Tumeona Jana aina ya soka ya england inavyoshindwa kutamba mbele ya style ya mchezo wa ajax ambao ndio hasa wanacheza aina ya Mpira wa Barcelona.
Kwa walivyosumbuka Spurs ndivyo ndugu zao watakavyo sumbuka Leo
Na hapo ndiyo tunaendelea kuthibitisha kuwa EPL sio ligi bora duniani
Tuanze tu kuiweka vichwani fainali ya Mei 19 kuwa ni Ajax vs Barcelona.
We unajua mpiraBarca anafia mlangon kwake
Vipi sasa bado una msemo wako huo? Hakuna wa kumzuia? Au umepoa?Nashukuru kwa wote mlionielewa nilivyoleta post hii na nawasamehe wote hasa yule aliyetoa maneno ya kashfa kwangu na family yangu...namweleza tu michezo ni furaha sio matusi
VIVA Barca na Messi atabaki kua Juu,huko tuendako bado sijamwona Wa kumzuia Barcelona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulisahau kuhifadhi maneno tuMlisema anakufa Nou Camp sasa hivi mshageuza eti anfield [emoji23] [emoji23] mumfunge barc 4-0 kwa kikosi kipi?? Mkubali tu liver msimu huu kubeba kikombe chochote labda waibe
Tumeona Jana aina ya soka ya england inavyoshindwa kutamba mbele ya style ya mchezo wa ajax ambao ndio hasa wanacheza aina ya Mpira wa Barcelona.
Kwa walivyosumbuka Spurs ndivyo ndugu zao watakavyo sumbuka Leo
Na hapo ndiyo tunaendelea kuthibitisha kuwa EPL sio ligi bora duniani
Tuanze tu kuiweka vichwani fainali ya Mei 19 kuwa ni Ajax vs Barcelona.
Kweli ahadi King Messi anaitimiza kwa vitendo3-0
SUAREZ 1
MESSI 1
MESSI 1 FREEKICK
Kama alivyoahidi King, Makombe yote yanarudi nyumbani....
Mkuu BlackPanther nimekumiss na comments zako za namna hii zenye mahaba tele kwa King La PulgaUkitaja ukatili wa kijinsia huwezi acha huu king anavyowafanya wenzie 😀😀