Samson Ngomboli
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 1,598
- 2,710
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jogoo wa dar muda wote wanawika..mwanzo ilinishangaza kidogo. Sijawahi sikia kuku akiwika saa 6 au saa 8 usiku.
Nilichogundua haya makuku ya kisasa ndio vichwa vyao havijui muda upi ni upi