Jogoo wakubwa wa malawi wanauzwa.

Jogoo wakubwa wa malawi wanauzwa.

Joined
Dec 8, 2012
Posts
31
Reaction score
8
Poleni na kazi za kila siku wana JF.
Mimi nina jogoo wa Malawi (mkolongo) weusi wanauzwa.
Ni wakubwa na wazuri kwa mbegu. Niko ILEJE, kwa atakaye hitaji basi tuwasiliane. Ni wazuri kwa ajili ya mbegu na nimewafuga kienyeji.
Ni sh. 15,000/= kwa jogoo mmoja.

0752- 345066 ( mvukiye Francis )
 
Back
Top Bottom