Joh Makini na G Nako nani mkali zaidi wa flow, miondoko, style

Joh Makini na G Nako nani mkali zaidi wa flow, miondoko, style

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Hivi kati ya hawa wasanii wawili wanaounda kundi la weusi nani mchafu zaidi katika kurap.
 
G NAKO NAMKUBALI FLOW YAKE ANAJUA KWENDA NA BEAT TAFUTA BANG ORIGNAL NA REMIX AU HAKUNA MAHALI KAMA TZ JO MAKINI FLOW YAKE SIJUI KAMA NI HIPHOP NI KAMA ANAONGEAGA TU KWENYE BEAT NA HAVINA MAANA YOYOTE LAKIN G NAKO FULL VIBOKO
 
Kuweni siriaz basi hao watu hawaendani, GNako anaimba zaidi kuliko kurap. Naona humu mmezidi kumkosea adabu 'Mwamba'
 
Binafsi naona G yuko underrated sana.Kwangu ni A-list artist kuanzia flows na hata maisha yake nje ya muziki.

Joh ni kivuli cha JAY Z.
 
Binafsi naona G yuko underrated sana.Kwangu ni A-list artist kuanzia flows na hata maisha yake nje ya muziki.

Joh ni kivuli cha JAY Z.

How,kwasababu anamuiga jayz ndo unamfananisha acha kumvinjia heshima legend.
 
Mtoa post hawa watu huwez kuwalinganisha. Endelea tu kushabikia mpira kama muziki hujui
 
G Nako labda kwenye kuimba kwasababu ya Vocal yake,lkn raping hahaha mnamzushia ili mumpe promo. Hata kwa huyo Niki tu agusi. Sema Joh ckuhiz cjui kawaje lkn najua yupo kibiashara cwez mlaumu na mzk anaofanya ss, lkn akiamua kufanya hipop, ni mkali sn.
 
Back
Top Bottom